Suala la Lema, LHRC na wengineo mtaumbuliwa na Amnest International

DALLAI LAMA

JF-Expert Member
Jan 31, 2012
8,652
2,627
Wanaukumbi

Lengo la Mada hii ni kuulizia walipo Legal and Human Right Centre kutoa hata neno moja lisemalo 'sio tu haki itendeke.. ionekane ikitendeka.'

Itakuwa sio kuingilia mhimili ule hapana.. ama mnawasubiri Amnesty International waseme, ama Human Right Watch watoe maneno haya juu ya Mbunge wetu Mpendwa Godbless Lema?

Yupo wapi Hellen Kijo Bisimba aropoke hata kidogo katika hili?

Ni hayo tu kwa Ufupi.
 
Wanaukumbi

Lengo la Mada hii ni kuulizia walipo Legal and Human Right Centre kutoa hata neno moja lisemalo 'sio tu haki itendeke.. ionekane ikitendeka.'

Itakuwa sio kuingilia mhimili ule hapana.. ama mnawasubiri Amnesty International waseme, ama Human Right Watch watoe maneno haya juu ya Mbunge wetu Mpendwa Godbless Lema?

Yupo wapi Hellen Kijo Bisimba aropoke hata kidogo katika hili?

Ni hayo tu kwa Ufupi.
Tatzo lenu NI SIASA ndio mmeendekeza mbele kwenye hili KISA TU ni CHADEMA hapa mnataka kutuaminisha KISA LEMA ni MBUNGE sheria haziwezi FATA mkondo wake HUU ni upuuzi wa kiwango cha juu sana....KUONYESHA ya kuwa KILA MTU ikiwemo wapiga kura wake wamemuona ni MPUUZI TU NASEMA HIVI NIKIWA NA MAANA YA KWAMBA kama angekuwa anaonewa MPAKA SASA....
1. WAPIGA KURA WAKE WANGEISHA KUWA WAMEPAZA SAUTI

2. ARUSHA MJINI INGEKUWA HAIKALIKI.....lakini tokea huyu jamaa awe KISONGO arusha sasa pamekuwa ni mahali salama zaidi..kila mtu kimya anafanya shughuli zake......NGOJA ATOKE KISONGO mtaona jinsi ARUSHA AMBAVYO KELELE ZITAKUWA HAZIISHI...

3.UKIMYA wa wa BUNGE wa CHADEMA hili nalo ni KITHIBITISHO tosha yakuwa Acha LEMA abebe MSALABA WA UPUUZI WAKE maana sicho ambacho wananchi wake walimtuma.

4. KUTOTEMBELEWA NA MBOWE MPAKA SASA HUKO KISONGO hilo nalo ni thibitisho mojawapo la KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE.....


Sasa unataka LHRC wafanye nini KWANI WAO NDIO WALIMTUMA ATUKANE?????? ILI HALI kuna watu wana hitaji msaada wa LHRC zaidi ya huo msaada unao lilia apewe LEMA......ACHA ABEBE MSALABA WA UPUUZI WAKE
 
Tatzo lenu NI SIASA ndio mmeendekeza mbele kwenye hili KISA TU ni CHADEMA hapa mnataka kutuaminisha KISA LEMA ni MBUNGE sheria haziwezi FATA mkondo wake HUU ni upuuzi wa kiwango cha juu sana....KUONYESHA ya kuwa KILA MTU ikiwemo wapiga kura wake wamemuona ni MPUUZI TU NASEMA HIVI NIKIWA NA MAANA YA KWAMBA kama angekuwa anaonewa MPAKA SASA....
1. WAPIGA KURA WAKE WANGEISHA KUWA WAMEPAZA SAUTI

2. ARUSHA MJINI INGEKUWA HAIKALIKI.....lakini tokea huyu jamaa awe KISONGO arusha sasa pamekuwa ni mahali salama zaidi..kila mtu kimya anafanya shughuli zake......NGOJA ATOKE KISONGO mtaona jinsi ARUSHA AMBAVYO KELELE ZITAKUWA HAZIISHI...

3.UKIMYA wa wa BUNGE wa CHADEMA hili nalo ni KITHIBITISHO tosha yakuwa Acha LEMA abebe MSALABA WA UPUUZI WAKE maana sicho ambacho wananchi wake walimtuma.

4. KUTOTEMBELEWA NA MBOWE MPAKA SASA HUKO KISONGO hilo nalo ni thibitisho mojawapo la KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE.....


Sasa unataka LHRC wafanye nini KWANI WAO NDIO WALIMTUMA ATUKANE?????? ILI HALI kuna watu wana hitaji msaada wa LHRC zaidi ya huo msaada unao lilia apewe LEMA......ACHA ABEBE MSALABA WA UPUUZI WAKE
Unaandika uongo kwa malipo ya bei gani ?
 
Tatzo lenu NI SIASA ndio mmeendekeza mbele kwenye hili KISA TU ni CHADEMA hapa mnataka kutuaminisha KISA LEMA ni MBUNGE sheria haziwezi FATA mkondo wake HUU ni upuuzi wa kiwango cha juu sana....KUONYESHA ya kuwa KILA MTU ikiwemo wapiga kura wake wamemuona ni MPUUZI TU NASEMA HIVI NIKIWA NA MAANA YA KWAMBA kama angekuwa anaonewa MPAKA SASA....
1. WAPIGA KURA WAKE WANGEISHA KUWA WAMEPAZA SAUTI

2. ARUSHA MJINI INGEKUWA HAIKALIKI.....lakini tokea huyu jamaa awe KISONGO arusha sasa pamekuwa ni mahali salama zaidi..kila mtu kimya anafanya shughuli zake......NGOJA ATOKE KISONGO mtaona jinsi ARUSHA AMBAVYO KELELE ZITAKUWA HAZIISHI...

3.UKIMYA wa wa BUNGE wa CHADEMA hili nalo ni KITHIBITISHO tosha yakuwa Acha LEMA abebe MSALABA WA UPUUZI WAKE maana sicho ambacho wananchi wake walimtuma.

4. KUTOTEMBELEWA NA MBOWE MPAKA SASA HUKO KISONGO hilo nalo ni thibitisho mojawapo la KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE.....


Sasa unataka LHRC wafanye nini KWANI WAO NDIO WALIMTUMA ATUKANE?????? ILI HALI kuna watu wana hitaji msaada wa LHRC zaidi ya huo msaada unao lilia apewe LEMA......ACHA ABEBE MSALABA WA UPUUZI WAKE
Mkuu hivi unamjua JPM ama unamsikia?
 
Hao akina Bisimba ULISHAWAHI wewe binafsi au huyo Lema wako hata kuwachangia gharama za ofisi walau hata nauli hadi uwafanye vibarua wa mambo ya Lema? UNATAKA KUVUNA usipopanda? Ruzuku na posho wale akina Lema na Chadema halafu Bisimba ndio atoe tamko akiwa hata kula hajala na hajui ofisi inaendeshwaJE
 
Kabla hujawalaumu kituo cha sheria na haki za binadamu em anza kwnz kumlaumu Lema mwnyw na pia jiulize kwann hata wabunge wenzie wamemtelekeza ??

Kuna principle moja maarufu sana ya kisheria inasema hivi
"No one should benefit from his own wrongs"

Acha ajutie ujinga wake No Way
 
Tatzo lenu NI SIASA ndio mmeendekeza mbele kwenye hili KISA TU ni CHADEMA hapa mnataka kutuaminisha KISA LEMA ni MBUNGE sheria haziwezi FATA mkondo wake HUU ni upuuzi wa kiwango cha juu sana....KUONYESHA ya kuwa KILA MTU ikiwemo wapiga kura wake wamemuona ni MPUUZI TU NASEMA HIVI NIKIWA NA MAANA YA KWAMBA kama angekuwa anaonewa MPAKA SASA....
1. WAPIGA KURA WAKE WANGEISHA KUWA WAMEPAZA SAUTI

2. ARUSHA MJINI INGEKUWA HAIKALIKI.....lakini tokea huyu jamaa awe KISONGO arusha sasa pamekuwa ni mahali salama zaidi..kila mtu kimya anafanya shughuli zake......NGOJA ATOKE KISONGO mtaona jinsi ARUSHA AMBAVYO KELELE ZITAKUWA HAZIISHI...

3.UKIMYA wa wa BUNGE wa CHADEMA hili nalo ni KITHIBITISHO tosha yakuwa Acha LEMA abebe MSALABA WA UPUUZI WAKE maana sicho ambacho wananchi wake walimtuma.

4. KUTOTEMBELEWA NA MBOWE MPAKA SASA HUKO KISONGO hilo nalo ni thibitisho mojawapo la KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE.....


Sasa unataka LHRC wafanye nini KWANI WAO NDIO WALIMTUMA ATUKANE?????? ILI HALI kuna watu wana hitaji msaada wa LHRC zaidi ya huo msaada unao lilia apewe LEMA......ACHA ABEBE MSALABA WA UPUUZI WAKE
Sheria ipi unataka ifate mkonndo?
Je kesi ya kutukana/kukashifu unajua adhabu yake?
je mtu kukaa maabusu miezi2 bila kesi kusikikizwa ni sheria ipi inaruhusu ?
&lhrc haipo kwa ajil ya chadema hata ww inaeza kunisaidia tuu

Waambie na mapopompo wenzio apo lumumba
 
Hao akina Bisimba ULISHAWAHI wewe binafsi au huyo Lema wako hata kuwachangia gharama za ofisi walau hata nauli hadi uwafanye vibarua wa mambo ya Lema? UNATAKA KUVUNA usipopanda? Ruzuku na posho wale akina Lema na Chadema halafu Bisimba ndio atoe tamko akiwa hata kula hajala na hajui ofisi inaendeshwaJE
We ccm umewachangia nn?
 
Kabla hujawalaumu kituo cha sheria na haki za binadamu em anza kwnz kumlaumu Lema mwnyw na pia jiulize kwann hata wabunge wenzie wamemtelekeza ??

Kuna principle moja maarufu sana ya kisheria inasema hivi
"No one should benefit from his own wrongs"

Acha ajutie ujinga wake No Way
Ajutie kwa kosa lipi? Naona skuhizi nyie ndo mahakama ee kuhukumu watu nyuma ya keyboard zenu
Jinga Sana nyie....
 
Kama unapigania ujinga hakuna wakujishughulisha na wewe.

Cheki Melo kapata mpaka mawakili wa kujitolea.
 
Wanaukumbi

Lengo la Mada hii ni kuulizia walipo Legal and Human Right Centre kutoa hata neno moja lisemalo 'sio tu haki itendeke.. ionekane ikitendeka.'

Itakuwa sio kuingilia mhimili ule hapana.. ama mnawasubiri Amnesty International waseme, ama Human Right Watch watoe maneno haya juu ya Mbunge wetu Mpendwa Godbless Lema?

Yupo wapi Hellen Kijo Bisimba aropoke hata kidogo katika hili?

Ni hayo tu kwa Ufupi.
Huu ndio upuuzi unaotaka ubaki JF? kweli maajabu hayaishi...huyu Lema aliyetamka hadharani aachwe jela LHRC wamzungumzie?..Nchi na Dunia iache kuzungumzia mambo ya msingi ijadili ujinga?
 
Ajutie kwa kosa lipi? Naona skuhizi nyie ndo mahakama ee kuhukumu watu nyuma ya keyboard zenu
Jinga Sana nyie....
Mkuu labda ww ndo mahakama ndo maana unataka kuandamana kwa sababu mahaka nyenzio haifanyi kazi
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom