Suala la kuwa na imani tofauti linapotatiza taasisi ya ndoa

Ogopa kama ukoma
kimbia kama umemwona osama mbele yako na majeshi yake
 
Me nimwemwacha the most beautiful woman I've ever been with cause cause she is sunni muslim, and my family didnt agree with that.
<br />
<br />
Now, are u happy with the one u'r with now?! Bcoz we may make decisions to please others, but at the end of the day lets look back and see what have we done to ourselves!
 
wanaweza kuoana na wakaishi miaka yote ya maisha yao..mimi nimezaliwa kwenye familia ya baba muislamu na mama mkristo,wapo kwenye ndoa karibu miaka 40 sasa,toka nikiwa mdogo mpaka leo nimeoa namwona mamaangu akienda kanisani na kafanya yale yote wakristo wanavyotakiwa kufanya,yaani kwa kifupi mamaangu ameishika dini kikweli....mzee wangu ni muislam lkn si mdini saaana.
ushauri;kutokana na kuzaliwa na kukulia ktk familia ya baba muislam na mama mkristo yapo matatizo ambayo watoto mnaweza kupata kama babaakiwa hana muda na dini yake,tunafahamu kuwa mara nyingi mtoto huwa ni wa baba hivyo hata dini anatakia afuate ya baba sasa kama baba akiwa si muudhuriaji kanisani/msikitini basi mtoto anaweza kuwa akiwa hajawahi kuingia kanisani wala msikitini.
kingine,mara nyingi mkiwa mmezaliwa watoto zaidi ya 4 basi lazima mtagawanyika ktk kufuata dini za wazazi wenu,na hii huwa hasa kama watoto wakiwa hawajapelekwa madrasa wakiwa wadogo kama baba muislam basi wakiwa wakubwa wataenda kwenye urahisi{ukristo} kwa kuwa inakuwa ngumu wao kuanza kujifundisha quran.....hivyo ni vizuri kwa watu wapendanao kuoana wakiwa dini moja ili kuwalea watoto ktk maadili ya dini moja,na kama mko dini tofauti basi baba ajue jukumu lake ni kuwapeleka kanisani/msikitini watoto wake na akizembea basi asije laumu watoto wote wakienda kwenye dini ya mama..nawasilisha
 
Muislaam haolewi na dini nyingine. Akishaolewa na mtu ambae si Muislaam anakuwa kisha toka kwenye Uislaam. Wala asijidanganye nafsi yake kuwa yeye bado ni Muislaam.
 
mimi huu ni mwaka wa 6 ktk ndoa na tuna imani tofauti lkn hatuna kikwazo chochote.
 
Inategemea na dhehebu au dini, kwa wakatoliki wanaruhusu kuoana katika mixed marriages na interreligious marriages lakini kuna vigezo na mashariti mnayopaswa kuyaelewa na kukubaliana. Kama unaweza tafuta wa imani yako hamtakuwa na ugomvi wa kiimani!
 
Kweli nimegundua haiwezekani ukizingatia kumbe wenzetu wanatuita ma'kafr......tafuta hata Mromani,Mlutheri,Muanglikana n.k lakini waepuke hawa Anti-Kafri
<br />
<br /
Wewe una yako sasa!
 
nina rafiki yangu,baba mkristo,mama muislam.wamezaliwa 5,maisha yanaenda,kipindi hiki,mama yao anafunga,na hao watoto j.2 wanaenda kanisani.x.mas wanasheherekea,idd wanasheherekea.Dini ni imani yako mwenyewe,muhimu kuelewana katika maisha.hao wazazi wanaishi vizuri tu.hakuna misukosuko yoyote kwa upande wao,na hao wazazi wanaishi pamoja zaidi ya miaka 20
<br />
<br /
Zipo chache zina survive ila ni challenge kubwa sana msipokuwa strong enough mta fail tu.
 
Now, are u happy with the one u'r with now?! Bcoz we may make decisions to please others, but at the end of the day lets look back and see what have we done to ourselves!

I had to let her go, mwisho wa siku ingeleta tabu. You risk gettin stuck in the middle, cant go back nor go forward.
 
Utafiti unaonesha wadada wa kiislamu ni mafundi kwenye kutoa tigo, kitu ambacho wadada wa kikristo hawakiwezi, chunguza kwa makini mikoa yote yenye uislamu kwa wingi ndio mafundi wa kutoa tigo na mashoga ni wa kumwaga.
Acha kutukana kwa kitu usichokuwa na facts! Unaonyesha hapa uhayawani na ujuha wako!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /<br />
Zipo chache zina survive ila ni challenge kubwa sana msipokuwa strong enough mta fail tu.

Wewe nae utakubali vp dini ikufelishe?
Labda kama elimu kwako zero.
Jiulize kabla ya wazungu na waarabu kuleta hizi dini babu zetu walikua wanaamini dini gani? Je hao waliokufa enzi hizo kabla ya kuja kwa dini tulizonazo leo hii hawataenda peponi au?
Dini ni mapokeo tu jamani zisiwatenganishe na wapenz wenu!
 
thibisha.
Ni mwanamke gani wa kiislam utamkuta na kitambi? Exceptions zipo, lakini ni wachache na vitambi vyao ni kutokana na miili yao(natural)
Wanawake wengi wa kikristo wana vitambi kutokana na kunywa pombe na minyama haram kama nguruwe!
Wanawake wa Kiislam wanajiheshimu, huwezi kumkuta amekaa baa, na kwenye sehemu za ajabu ajabu kama wanawake wa kikristo.
Wanawake wa kiislam wana ngozi nuzuri na murua, kwani muda wote inatiwa nakshi, inasitiriwa vizuri kwa ijabu na baibui! Wanawake wa kikristo muda wote wako waazi!!
 
Kweli nimegundua haiwezekani ukizingatia kumbe wenzetu wanatuita ma'kafr......tafuta hata Mromani,Mlutheri,Muanglikana n.k lakini waepuke hawa Anti-Kafri
<br />
<br />
aisee umesema vyema! Sisi iko wazi kwenye kitabu chetu kitukufu'' msioe washirikina(wakiristo) mpaka waamin na mtumwa ni bora kuliko kafir hata kama wanakupendezeeni'' hivyo ukiona anti kafir anaoa mkiristo ujue hajitambui wala haijui dini yake.
 
No comment maana mada imenigusa mpaka rohoni...coz am deeply in love with a christian catholic man...
<br />
<br />
Just go for it. dini has nothing to do with your life unless uendekeze. love is something different and waweza kuwa tayari kwa lolote as long as the other side asiwe cheater.
 
mimi binafsi nimeamini kuwa upendo wa mtu hauzuiliwi na misimamo ya kidini kwani mimi ni mkristo tena mlokole lakini nampenda binti wa kiislam tena wa swala tano yeye pia ananipenda
 
Ni mwanamke gani wa kiislam utamkuta na kitambi? Exceptions zipo, lakini ni wachache na vitambi vyao ni kutokana na miili yao(natural)<br />
Wanawake wengi wa kikristo wana vitambi kutokana na kunywa pombe na minyama haram kama nguruwe!<br />
Wanawake wa Kiislam wanajiheshimu, huwezi kumkuta amekaa baa, na kwenye sehemu za ajabu ajabu kama wanawake wa kikristo.<br />
Wanawake wa kiislam wana ngozi nuzuri na murua, kwani muda wote inatiwa nakshi, inasitiriwa vizuri kwa ijabu na baibui! Wanawake wa kikristo muda wote wako waazi!!
<br />
<br />
unawapigia debe?

ok

Khadida kopa ni mkristo? Huyu ni mnene.
Salama jabir ni mkristo? Huyu anakula hadi ganja.
Isha shabani? Unajua mwenyewe

usikandie dini za wenzio na kuwatangazia hao dadazako, any way love is the choise of person himself.
 
Back
Top Bottom