nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hii dhana ya uanaharakati bila kupata majibu kwamba kuwa mwanaharakati ni lazima upinge kila jambo. nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mijadala ya kitaifa wanaharakati hupinga kila jambo. nawasilisha
Inawezekana hao unaowaita 'wanaharakati" ni watanzania ambao wamekata tamaa ya maisha kiasi kwamba kila kitu kinaonekana Kimeparaganyika. Kila mahali watanzania wanaona kukata tamaa bila ya kuwa na matumaini ya kupata afueni huko tuendako.nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hii dhana ya uanaharakati bila kupata majibu kwamba kuwa mwanaharakati ni lazima upinge kila jambo. nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mijadala ya kitaifa wanaharakati hupinga kila jambo. nawasilisha
<br />Wanaharakati wengi ni magwanda sasa unategemea nini hapo. Wanaendeshwa na Mbowe usiku na mchana ili waipindue serikali ya Kikwete.
hivi wewe bado tu unaendelea na hadithi za suti? Mi naona bora nikushonee moja ndio utapoa, inaonekana unahamu nayo sana. Nitakujulisha gesti house gani uje uchukue hiyo suti.kuuzwa mbuga za wanyama, ndege ya jeshi kutua na kubeba wanyama huku tukiambiwa serikali haikuwa na taarifa, nchi kuwa giza na kusababisha watanzania wengi kupoteza ajira huku kukiwa hakuna kiongozi yoyote aliewajibika, ufisadi wa richmond,meremeta,Majengo pacha..elimu duni, huma ya afya duni,ukiukwaji wa sheria mfano nyamogo mauji yaliyotokea na yayoendelea kutokea huko....na mengine mengi bila kusahau uhonwa suti kwa kikwete..unataka tuwsifie kwa lipi..kugawa neti!?
siyo kupinga kila kitu ni kuongelea yenye pugufuKuna kipindi ktk TV flani mwanaharakat alikuwa kila jambo yy anapinga.Akaulizwa hata shule za kata na UDOM na daraja la malagarasi,ujenzi wa barabara,ujenz wa uwanja wa taifa,kununuliwa vivuko mbalimbali n.k huoni kuwa ni maendeleo hayo?.Akasema yy kazi yake ni kupinga na taasis yake imemtuma afanye hivyo.MTAPINGA HATA MAJINA YENU MWAKA HUU.
kwa hiyo kikwete alipewa baada ya kuplekwa gesti hii nayo kashifa nyingine..hivi wewe bado tu unaendelea na hadithi za suti? Mi naona bora nikushonee moja ndio utapoa, inaonekana unahamu nayo sana. Nitakujulisha gesti house gani uje uchukue hiyo suti.
kwa hiyo kikwete alipewa baada ya kuplekwa gesti hii nayo kashifa nyingine..
ngoja niongeze kwnye list kuwa khongwa suti, kupelekwa gesti na kunuliwa bia kwa raisi..nitajie mengine mama watotoWewe acha maneno mengi, chagua Rangi halafu niPM, usiogope kijana kama tatizo lako ni kuhudumiwa basi hapa ndio umefika. Suti utapata, kuku chips utapata na bia za kumwaga.
nimekuwa nikijiuliza sana juu ya hii dhana ya uanaharakati bila kupata majibu kwamba kuwa mwanaharakati ni lazima upinge kila jambo. nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana mijadala ya kitaifa wanaharakati hupinga kila jambo. nawasilisha
Wanaharakati wengi ni magwanda sasa unategemea nini hapo. Wanaendeshwa na Mbowe usiku na mchana ili waipindue serikali ya Kikwete.
<br />kwa hiyo kikwete alipewa baada ya kuplekwa gesti hii nayo kashifa nyingine..