VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,195
- 1,338
Mambo ambayo Chadema wangeyafanya ni pamoja na kufuta hiki cheo cha wakuu wa wilaya ili kubana matumizi.
Hata wale ambao hawapendi Chadema (Ushabiki Pembeni), Jambo hili naona lina manufaa na more positives than negatives. Hata wale wanaounga mkono kazi hii ya wakuu wa wilaya naomba mnifahamishe ni nini kazi ya hawa watu na Je? kazi hii haiwezi kufanywa na mtu mwingine?
Na Hivi vyeo vya Acting District Commissioner whats it all about? Dont even start me kwenye kuongeza wilaya na Mikoa inayoongezwa kila siku..Why?
Hata wale ambao hawapendi Chadema (Ushabiki Pembeni), Jambo hili naona lina manufaa na more positives than negatives. Hata wale wanaounga mkono kazi hii ya wakuu wa wilaya naomba mnifahamishe ni nini kazi ya hawa watu na Je? kazi hii haiwezi kufanywa na mtu mwingine?
Na Hivi vyeo vya Acting District Commissioner whats it all about? Dont even start me kwenye kuongeza wilaya na Mikoa inayoongezwa kila siku..Why?