Akilitime
JF-Expert Member
- Dec 27, 2017
- 581
- 757
Ni kama vile shule/vyuo ndo alikuwa agent mkuu wa kusambaza Corona,
Kama serikali inajali kweli na inataka tatizo liondoke mapema kwanini shughuli na safari za watu kutoka nje zisizuiliwe kwa mda kama ilivyofanywa kwenye sector ya elimu?
Eti tunalinda mapato?
Amua moja shughuli zote zisimame, au shughuli zote ziendelee! Sio kusimamisha sector moja wakati sote tunaelewa agent mkuu was kusambaza Corona.
#Hata wafalme wanashauriwa.
Kama serikali inajali kweli na inataka tatizo liondoke mapema kwanini shughuli na safari za watu kutoka nje zisizuiliwe kwa mda kama ilivyofanywa kwenye sector ya elimu?
Eti tunalinda mapato?
Amua moja shughuli zote zisimame, au shughuli zote ziendelee! Sio kusimamisha sector moja wakati sote tunaelewa agent mkuu was kusambaza Corona.
#Hata wafalme wanashauriwa.