shibela
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 628
- 2,119
Habari wana JF,naomba msaada kwa Wanaofahamu,mfano mwanamke na mwanamume wameanza kuishi pamoja kwa ndoa ya bomani,je kwa taratibu za kisabato wanaruhusiwa kwenda kubariki ile ndoa kanisani na ikafungishwa bila shida yoyote mbele ya kanisa na mashahidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app