mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Huku wakiwa kwenye mchakato wa kutafuta kocha mkuu, hili suala nawaombeni TFF msikurupuke, mwishowe tuanze kulialia na kuwalaumu. Ushauri wenu wadau kwa TFF wakati wakiwa kwenye huu mchakato wa kutafuta kocha, mnaonaje?