kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,233
- 12,508
- Thread starter
- #61
Simba ni hodari wa kupanic, mashabiki hata vionhozi wao mpaka wachezaji wao inawafanya wapanic pia wawapo uwanjani. Muda wote na mara zote mashabiki, viongozi na wachezaji wanaifikiria Yanga hata kwenye mechi na timu nyingine. Hili ni tazizo la underdog akipata matokeo chanya, anaweweseka, haamini.Siku za hivi karibuni Simba fc aka Mnyero fc anatembelea nyota ya Young African Sc kwenye usajili wake. Refer: Adam Salamba, Charles Ilamfya, Gadiel, Konde boy, Bwalya, Morrison, hata kwa Kagere ilikuwa the same etc. Wakisikia Young African Sc Wana mazungumzo kuhusu usajili wa mchezaji Fulani, wao mbio wanamsajili fasta. Ila kwa Bwalya, Ilamfya, Salamba na Morrrison wameukwaa. Hata Kichuya wakati anatejea kutoka Misiri Young wakiwa ktk harakati za kumsainisha, Mikia faster wakaingilia dili lake, Sasa Ina kilichwapata, wamepigwa faini na inawezekana wskapigwa ban ya kusajili. Mikia fc acheni kukurupukia na kuingalia sajili kisa mna fedha ya Mhindi, mwishowe naye atawachoka na kuwatosa kabisa. Sajilini kwa nafasi zenye mapungufu na kwa kufanya scouting wenyewe na siyo kutembelea scouting za wenzenu.
Historia inaonyesha Simba ilianza kama underdog kwa yanga tangu inaanzishwa, hali hii inaendelea mpaka leo hata keshokutwa. Ukweli huo unathibitishwa na Yanga kuwa bingwa wa kihistoria nchini. Yaani Simba inaona ni muujiza kuifunga Yanga.