HahahaAliwatishia kuwa anasaini yanga
Hio ndio sifa yetu sisi Wanaume. Ukikerwa ndio hvyoKibuli chao ni kwa ajili ya uwepo wa Karia, Kidau na mikia wengine pale Karume! Wajiandae na ishu ya Morrison muda si mrefu inajibu!
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Simba ilikuwa inawazuia Kichuya na konde boy wasiende Yanga, ndio wakajikwaa kwa ujinga wao
Kichuya aliruhisiwa vipi na TFF kuichezea Simba bila taratibu za uhamisho kukamilika?
Mkuu umetumia ile kitu WHO wamesemaWalienda hadi WHO
Kwahy hiyo fain ya ml 300 mo atakua kaikopesha simba tena
Tatizo FIFA wanajifanya jeuri sana. Inamaana hawamuogopi Karia? Ngoja na yeye awape adhabu kali kwa kuwapiga fine mbeleko fcNilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.
Khs kwanini Simba wamelimwa mia 3, ni kutokana na taratibu za usajili imeonekana Kichuya ni kama alitoroka kwa Mwajiri wake hakupewa mkono wa kwaheri kabla ya kurudi Simba!
Inamaana hapa kuna uzembe kwa viongozi wa Simba walifanya na Kichuya naye alikosa proffesionalism lbd hana msimamizi makini!
Mwisho kabisa shirikisho la Misri nalo lilituingiza kibra.
Ila yote kwa yote uongozi wa Simba wanatakiwa wajitathimini kwa hili!
Hapo sidhani maana siyo kosa lao,Haya, je, namungo inaweza kupokonywa points walizomchezesha Kichuya kama club zitadai?
Kama kichuya alikuwa na kibali cha muda kutoka fifa sasa Simba inaadhibiwa kwa kosa ganiHapo sidhani maana siyo kosa lao,
Isitoshe Kichuya alikuwa na kibali cha kutumika nchini cha Muda ndio maana hata FIFA hawajatoa adhabu tofauti na Faini ya pesa!!!
Walisikia Yanga wanamtaka.... Ukitaka Simba wamsajiri mchezaji au Wamwongezee Mkataba mchezaji ambaye hata hakua kwenye mpango wa Kocha....Alivyorudi Simba sikuelewa kwanini alisajiliwa upya
Hakuwa na namba ya kucheza kabisa
Mikia wana kubebwa.Kichuya aliruhisiwa vipi na TFF kuichezea Simba bila taratibu za uhamisho kukamilika?
Ina maana fomu kutoka shirikisho la misri hakuna sehemu au viambatanisho vya klabu aliyotokea?Nilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.
Khs kwanini Simba wamelimwa mia 3, ni kutokana na taratibu za usajili imeonekana Kichuya ni kama alitoroka kwa Mwajiri wake hakupewa mkono wa kwaheri kabla ya kurudi Simba!
Inamaana hapa kuna uzembe kwa viongozi wa Simba walifanya na Kichuya naye alikosa proffesionalism lbd hana msimamizi makini!
Mwisho kabisa shirikisho la Misri nalo lilituingiza kibra.
Ila yote kwa yote uongozi wa Simba wanatakiwa wajitathimini kwa hili!
Sio janja ni utapeliMmeadhibiwa kwa sababu ya janja janja,adhabu mtakayoipata kwa morison inaweza kuwa kubwa kuliko hii ya kichuya,nyie idharauni tu kesi ya morison
Kweli walifanya hivyo kwa akina ndemla ingawa hawamtaki kwenye plan zaoWalisikia Yanga wanamtaka.... Ukitaka Simba wamsajiri mchezaji au Wamwongezee Mkataba mchezaji ambaye hata hakua kwenye mpango wa Kocha....
Waambie Yanga wanamtaka Huyo Mchezaji.....!