Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ongeza nyama, kafungiwa lini, na nani?Kichuya aliruhisiwa vipi na TFF kuichezea Simba bila taratibu za uhamisho kukamilika?
Povu Kama loooooooooooooote. Enjo your povu kikundiNenda CAS.
Simba hatukurupuki, umeambiwa walipata temporary permit ya yeye kucheza. Ikiuma sasa nenda WHO kashitaki
Kwanini afungiwe siku ya uhuru, not fair aiseeeMkuu ongeza nyama, kafungiwa lini, na nani?
Kwanini mikia ipigwe faini ya m 300 na ikiwa mlikamilisha taratibu zote?Kuna watu mpira wanaipenda lakini wao hauwapendi, ni pamoja na mleta mada!!!.....
Nilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.Kwanini mikia ipigwe faini ya m 300 na ikiwa mlikamilisha taratibu zote?
Mkuu hivi ni kweli Yanga walienda FIFA?Bado rungu la Morrison, nalo laja.
Tff ni simba. Hamna la kufanya.Povu Kama loooooooooooooote. Enjo your povu kikundi
Walienda hadi WHOMkuu hivi ni kweli Yanga walienda FIFA?
Sent from Nokia 7 Plus
,sasa mkuu WHO na mpira wap na wap,but tujue tu kwamba kuna madhaifu ndan ya shirikisho letu,na kama kesi ya Morrison Yanga walienda mbele zaidi na may be wakafankiwa kushinda,basi jua kwamba vilevile ndan ya Simba kuna madhaifu ndan ya uongozi/kufanya vitu kwa kukurupuka kama njiwa kwenye mabanda yao!Walienda hadi WHO
Nenda ICC kawashitaki SimbaNenda CAS.
Simba hatukurupuki, umeambiwa walipata temporary permit ya yeye kucheza. Ikiuma sasa nenda WHO kashitaki
Kidao nimekaa naye ghetto moja, Tena maghetto mawili. Kwake Ilala na kwetu Mwenge. Siku anaacha kuchezea Simba alinipa simu yake, akatoa lini, akasema sitaki usumbufuTff ni simba. Hamna la kufanya.
Hapo ndipo kuna kitukoKichuya aliruhisiwa vipi na TFF kuichezea Simba bila taratibu za uhamisho kukamilika?
Mmeadhibiwa kwa sababu ya janja janja,adhabu mtakayoipata kwa morison inaweza kuwa kubwa kuliko hii ya kichuya,nyie idharauni tu kesi ya morisonNilikuwa namjibu huyo anayewalaumu TFF maana kwa hapo hawahusiki! Wao walifanyia kazi vibali kutoka Misri na kile cha Provisional KUTOKA FIFA.
Khs kwanini Simba wamelimwa mia 3, ni kutokana na taratibu za usajili imeonekana Kichuya ni kama alitoroka kwa Mwajiri wake hakupewa mkono wa kwaheri kabla ya kurudi Simba!
Inamaana hapa kuna uzembe kwa viongozi wa Simba walifanya na Kichuya naye alikosa proffesionalism lbd hana msimamizi makini!
Mwisho kabisa shirikisho la Misri nalo lilituingiza kibra.
Ila yote kwa yote uongozi wa Simba wanatakiwa wajitathimini kwa hili!
Yanga kesi yao iko fifa kitambo tuMkuu hivi ni kweli Yanga walienda FIFA?
Sent from Nokia 7 Plus