white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,305
- 13,265
Nani alikwambia kuwa na vitambulisho hivyo tu, tayari ni udhibitisho wa URAI?!!tatizo la nchi hii kuwatambua raia wake ni shida kubwa kutokana na mvulugano toka tunapata uhuru.Ana kitambilisho cha kupigia kura.
Ana Kitambulisho cha Taifa.
Ana Passport ya Tanzania.
Hao ni Nyuma Mwiko