Eng Mayeye
Member
- May 23, 2011
- 37
- 1
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.