Suala la epa pia kufikishwa kwenye mikono ya sheria wachochezi wa vurugu tarime

Eng Mayeye

Member
May 23, 2011
37
1
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.
 
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.

Wewe unajua nini kuhusu Tarime?!! Acha ujinga wenzio wanauawa ushahidi unataka kufichwa unadai walioficha ushahidi wameleta amani?!! wewe siyo mpenda AMANI ILA MNAFIKI NA MUOGA NA CHANZO CHA UMASKINI WA WATZ. POLE SANAA!
 
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.

wewe ni mpumbavu mkubwa, acha kuropoka ropoka ovyo na hizo pumba zako. Unajua nini kuhusu Tarime? Watu wanauawa wewe unapongeza. Acha upuuzi.
 
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.


Hii Akili haionyeshi kama ni ya Engineer!! Possibly ni ya kafisadi mtoto!!
 
Ni mara ngapi wewe raia umejichukulia sheria mkonon kwa kuwaua raia kwa kisingizio et ni vibaka? Je ni kitabu gani cha sheria kinachobariki adhabu ya kifo kwa kibaka?? Tafakari sana ndugu yangu mtanzania mwenzangu. Anayeipiga ngoma mwenyewe haichezi we umeshupalia hadi mishipa ya macho kukutoka huku jasho lakumiminika mithiri ya mafuriko ya kwetu Kilosa.. Za mpiga ngoma changanya na zako halafu.....
 
Ni mara ngapi wewe raia umejichukulia sheria mkonon kwa kuwaua raia kwa kisingizio et ni vibaka? Je ni kitabu gani cha sheria kinachobariki adhabu ya kifo kwa kibaka?? Tafakari sana ndugu yangu mtanzania mwenzangu. Anayeipiga ngoma mwenyewe haichezi we umeshupalia hadi mishipa ya macho kukutoka huku jasho lakumiminika mithiri ya mafuriko ya kwetu Kilosa.. Za mpiga ngoma changanya na zako halafu.....


Kumbe Mrogoro, Magamba damu.

Kwanza ondoa hiyo Eng. nani kakupa, usifikiri ni kujiwekea tu hata kama ni fundi mchundo.
 
kweli huyo eng kafilisika..labda taniboy wa mabasi ya gamba lao la morogoro abood..damu ya mtu huzaa matunda ya kudumu..mgogoro wa tarime hata wauchakachue vipi serikali mpaka hatua hiyo wametia aibu nafikiri pia wamejifunza sana.. Tunawaamini makamanda wetu Tundu lissu na mabere marando wataiburuza serikali mahakamani
 
Wadau msihangaike na huyu mtu ni mjinga flani anafanya kazi hapo buzwagi mines Kahama kajipachika uingnr wala sio.Hizi ndo post zake za hovyo asiwapotezee muda.
 
Navipongeza sana vyombo vya sheria nikimaanisha MAHAKAMA pia vyombo ya USALAMA nikimaani Police kwa jinsi wanavyoendelea kusimamisha MHIMILI mkuu wa Utawala bora na Utawala wa Sheria kwa jinsi wanavyoshughulikia suala la EPA na MGOGORO WA TARIME. Hongeren sana. Sisi wapenda amani, wazee, watoto hata akina mama tunawategemeen sana ktk kututetea.

hv Mwandiga hawajambo?
 
Back
Top Bottom