Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Hapo si ni Resti ini pisi kabisaWazembe sana hao
Hapo si ni Resti ini pisi kabisa
Si kwamba hawajui, wanafanya makusudi tuWananikera sana hawajifunzi
Wanapewa leseni kiholela sanaSi kwamba hawajui, wanafanya makusudi tu
Hawa jamaa shida sanaKuonea huruma kifo cha mwendesha bodaboda ni matumizi mabaya ya huruma.
Hawa jamaa ni hatari kuliko hata magonjwa yaliyotishio kwa jamiiMsiba wa Morogoro wa janga la moto yote kasababisha bodaboda.
Inachosikitisha zaidi kuna uwezekano mkubwa yeye hajaungua kama bodaboda wenzie waliokuwa eneo la tukio baada ya gari iliyo mkwepa kupinduka.