BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,557
- 2,853
Nimesoma juhudi za kibinadamu zikigonga ukuta kuleta majibu mujarabu juu ya kupotea kwa mwanajanvi mwenze tu Ben wa Saanane.
Nashauri ndugu zake/jamaa waende kwa watumishi wa Mungu anayeona yaliyosirini afumbue hiki kiwingu.pale akili zetu zinapoishia ndio Mungu anapoingia kazini na kujitwalia utukufu wake.
Tuna watumishi wengi wa Mungu aliyehai,watoe wepesi kwa watanzania tusiojua kilichojiri.ili Mungu atukuzwe.
Barikiweni mjini na mashambani.
Nashauri ndugu zake/jamaa waende kwa watumishi wa Mungu anayeona yaliyosirini afumbue hiki kiwingu.pale akili zetu zinapoishia ndio Mungu anapoingia kazini na kujitwalia utukufu wake.
Tuna watumishi wengi wa Mungu aliyehai,watoe wepesi kwa watanzania tusiojua kilichojiri.ili Mungu atukuzwe.
Barikiweni mjini na mashambani.