ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,744
Kila kitokeacho puani si chakula
Hivyo bangi haimooo kwenye chakula
Hivyo bangi haimooo kwenye chakula
Wewe changia tu mbona kuna baadhi ya makabila bangi ni kitu cha kawaida sana. Huku kwetu wakinga wanapika kama mboga na mbegu zake hutumika kama kiungo na bangi yenyewe inavutwa sana hasa na watu wazima na wazee. Lakini wakinga wanajua sana biashara na ninadhani baada ya wachaga, wanaofuatia ni wakinga kwa kusakanya hela.
Watu wa Mara nao hawako nyuma kwenye hili la kuitumia bangi kwa matumizi mbalimbali. Lakini ni wao waliomtoa mtu kama Julius Kambarage Nyerere.Tatizo la bangi liko kwa wenye tatizo na bangi!![/COLOR]
Aisee! Ni wapi huko bangi inalimwa kwa drip irrigation!Mstari huu vijana wengi wa chama cha wamekua wakitumia kama kuitetea Bangi.
Mwanzo1:29 Kisha Mungu akasema, “Tazama, nawapeni kila mmea duniani uzaao mbegu, na kila mti uzaao matunda yenye mbegu; mbegu zao au matunda yao yatakuwa chakula chenu. 30Nao wanyama wote duniani, ndege wote wa angani, viumbe vyote vitambaavyo, naam, kila kiumbe chenye uhai, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikawa hivyo.
View attachment 472042
Una uhakika Bible imezuia pombe persee? Hata kwa wagonjwa, masikini na wenye kuelemewa na mizigo mfano akaribiaye kufa pia?Kwan bengi za mbangi zinaliwa pia?,kama sio basi sio chakula,na vitavu vitakatifu havijawahi kukosea hata pombe tu annaekunywa ajue biblia haijaridhia...
Kuna doctor mmoja maarufu sana kasoma Russia ni surgeon ana puliza hii kitu hatari ukiingia kwenye gari yake moshi unavuka muda wote na hafanyi surgery mpaka avute
Nimeuelewa sana huo mstari ,hata huko Jamaika vichaa wangekuwa wengi sana..Wanatu bughudhi tu.
Kwa vile ni chakula itabidi niwe naipika kwa nazikama mchichaMstari huu vijana wengi wa chama cha wamekua wakitumia kama kuitetea Bangi.
Mwanzo1:29 Kisha Mungu akasema, “Tazama, nawapeni kila mmea duniani uzaao mbegu, na kila mti uzaao matunda yenye mbegu; mbegu zao au matunda yao yatakuwa chakula chenu. 30Nao wanyama wote duniani, ndege wote wa angani, viumbe vyote vitambaavyo, naam, kila kiumbe chenye uhai, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikawa hivyo.
View attachment 472042
Naomba unielekeze yalipo matunda ya nyoka walau hata nikayaone kwani ni ajabu nyoka kutoa matundaUmeambiwa chakula , na kila mmea na matunda yapo maalumu kwa kazi zake, kama kwa kutafsiri hivo mstari basi kale matunda ya nyoka
NimeipendaUkipelekwa mahakaman mwambie hakimu. "Mwanzo moja 29,
Atakuachia
Kwa uelewa wako kila mche ni chakula kwako?Mstari huu vijana wengi wa chama cha wamekua wakitumia kama kuitetea Bangi.
Mwanzo1:29 Kisha Mungu akasema, “Tazama, nawapeni kila mmea duniani uzaao mbegu, na kila mti uzaao matunda yenye mbegu; mbegu zao au matunda yao yatakuwa chakula chenu. 30Nao wanyama wote duniani, ndege wote wa angani, viumbe vyote vitambaavyo, naam, kila kiumbe chenye uhai, chakula chao kitakuwa majani yote ya mimea.” Ikawa hivyo.
View attachment 472042
Ukiiunga kwa nazi na kuweka karanga kama kule kwetu Muleba mbona ugali unashuka tuMi nataka nitest inapikwa vizuri nachanganya na Utumbo kisha naiungia Nazi na Ugali mlaini!!!
Unajua maana ya kufisha?hata wakinywa kitu cha kufisha, hakitawadhuru kabisa