Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,449
Nonsense siyo nchi.Nonsense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nonsense siyo nchi.Nonsense
Kwenu wapi?Mchukueni mtu wenu aje kuongoza huko hatumtaki huku kwetu
Nitukane tu mkuu.Mkitukanwa kwamba akili zenu zinawaza usawa wa pua zenu mnakasirika, ardhi haiongezeki, idadi ya watu inaongeseka, hivi unawaza miaka 100 ijayo uwiano wa ardhi na idadi ya watu itakuwaje?
Pili kinachosemwa hapa sio kingine ila matakwa ya kikatiba na kisheria, kwanini inaheshimiwa upande mmoja tu?
Zanzibar ni koloni la tz baraNonsense siyo nchi.
Tanganyika iko wapi? Mbona siioni kwenye Atlas ya dunia na hata Google Maps haipo?Kama ni hivyo basi kila mtu akamiliki kule kwao, Wazanzibar wakamiliki ardhi Zanzibar na Watanganyika wamiliki ardhi Tanganyika. Kila mtu asimiliki kwa mwenzie
Zanzibar ni koloni la tz bara
Inashangaza sana mnabunge leo,mahakama na rais wenu lakini kila kitu mnapangiwa kutoka bara ,ni kama vile rimot inavyocontrol tv
Vunjeni mbakie kuwa stateless people. Tanzania hamuitaki, Tanganyika baba yenu Kambarage aliiuwa. Mtabakia kuwa stateless people na makabila yenu.Muungano uvunjwe tu
Ccm wamecheza kama pele kwenye huu muungano,walivyo wanasa wa visiwani hakuna kufurukuta.Tanzania bara haitambuliki kama nchi, sasa itakuwaje na koloni?
Sasa umeongea ukweli. Zanzibar ilivamiwa na Nyerere. Lakini unajidanganya ukifikiri Wazanzibari hawawezi kufurukuta. Kinachowazuia Wanzanzibari sasa hivi ni kutambulika kimataifa (international recognition) siyo CCM. Likitokea taifa kubwa lolote likiitambua Zanzibar kama nchi, CCM hawawezi kufanya lolote.Ccm wamecheza kama pele kwenye huu muungano,walivyo wanasa wa visiwani hakuna kufurukuta.
Nikuwa control kama remote ,Zanzibar haina uwezo wa kujitawala ikiachwa huru mu Oman ataingia hapo bora tuwatawale tu.
Siyo ardhi tu:Kwenye katiba ya Tanzania hakuna sehemu iliyohusisha ardhi kwenye muungano, Ardhi ya Tanzania bara ni kwajili ya raia wake na ardhi ya Zanzibar ni ya raia wake.
Hatuna budi kuwapongeza wazanzibari maana hawana mchezo kwenye kulitekeleza hili kwa kulinda ardhi yao iwe kwajili yao, Lakini sasa huku bara ni kama vile tuna upofu katika kusimamia haki yetu kwasababu katiba imeshaweka wazi hii ardhi ni ya raia wa bara pekee lakini cha ajabu wazanzibari wanapewa umiliki wa ardhi, ndugu zangu hivi hatuna uchungu na ardhi yetu kama ilivyo kwa wazanzibari wenye uchungu na ardhi yao ?
Mtu wa bara ukienda huko Zanzibar hata uwe na pesa vipi utapigwa stop, ukiona unamilikishwa kirahisbi rahisi jua ya kwamba umekutana na wajanja wa kipemba, watakufojia hadi hati za ardhi feki ilimradi uingie kingi, utatapeliwa pesa zako mchana kweupe, siku unaanza shughuli zako ndipo unakuja kugundua umetapeliwa.
Ajabu ni kwamba Kigamboni karibu yote, Temeke, Buguruni, Wazanzibar wanamiliki ardhi bila bugudha. Msingi wa hoja yangu ni kwanini Wazanzibari wanamiliki ardhi Bara licha ya kwamba katiba hata ya sasa ipo wazi haiwaruhusu ?
Kimsingi Tanganyika imekuwa kama shamba la bibi au yatima, haina mwenyewe wala mtetezi.
kuna kila sababu ya kuona kwamba Zanzibar "wametuzidi akili", Sizungumzii akili za kukariri darasani what is physics, ni akili ya kawaida kabisa ambayo mtu inabidi awe nayo, kwa kiingereza huitwa "common sense"
View attachment 2041966
Kule Zanzibar si Mzanzibari wala Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi. Ardhi ni mali ya taifa. Wanaruhusiwa watu kutumia ardhi tu na sio kumiliki. Akitokea mtu akakwambia anamiliki ardhi jua huyo anakudanganya. Nimesema hili kuondoa upotoshaji wa kwamba Zanzibar watu wanamiliki ardhi na hasa kwa vile humu jamvini jambo limetrend sana.Tofauti na Zanzibar ambako hairusiwi Mtanganyika kisheria kumliki ardhi
Hii si sahihi. Zanzibar watu wote wanapewa hati ya matumizi ya ardhi tu na si vingineKwa sheria za Zanzibar, Mzanzibari Mkaazi anapewa hati ya kumiliki ardhi('Title Deed') lakini Mtanzania(Mtanganyika) anapewa hati ya matumizi ya ardhi kwa muda maalum mfano miaka 33('Lease')
Wote huku bara tunapewa hati ya umiliki kwa muda fulaniHao Wazanzibari wenyewe hawamiliki ardhi wanapewa hati ya matumizi ya ardhi tu. Serikali ikiitaka hiyo ardhi inaichukuwa tu bali unalipwa fidia ya mazao na majengo ikiwa hujaiendeleza inachukuliwa bila yakulipwa hata senti.
Ww utakuwa Mpemba sio BureArdhi ya huku (bara) ni kubwa mno, acha tu tutumie sote. Watu wenyewe wako milioni moja na nusu, hawawezi kutumalizia "hiyo ardhi yetu".
Khaa, nchi hii.
We we ndio unataka kupotosha kuna kitu kinaitwa certificate of occupancy ambayo inampa mtu rght of occupancy kwenye eneo fulani kwa muda wa kuanzia miaka 33,66,au 99.Kule Zanzibar si Mzanzibari wala Mtanganyika anaweza kumiliki ardhi. Ardhi ni mali ya taifa. Wanaruhusiwa watu kutumia ardhi tu na sio kumiliki. Akitokea mtu akakwambia anamiliki ardhi jua huyo anakudanganya. Nimesema hili kuondoa upotoshaji wa kwamba Zanzibar watu wanamiliki ardhi na hasa kwa vile humu jamvini jambo limetrend sana.
Mkivunja muungano mtaishi nchi gani? Tanzania ni hiyo mmeichoka na Tanganyika haipo tena. Sasa nyie machogo wenye chuki na Zanzibar mtakuwa raia wa nchi gani?
Nitukane tu mkuu.
Kwangu mimi kutishiwa kutukanwa ni jambo baya zaidi kuliko kutukanwa kwenyewe.
Kama unadhani hili linajadiliwa vema kwa kutukana, karibu sana. Niko tayari.
Here are the options:
1. Unaweza kunitukana hapa au PM
2. Naweza kukupa email yangu unitukane huko ikikupendeza.
3. Unaweza kutumia akaunti zangu za mitandao ya kijamii kunitukana (nitakutajia).
4. Kama kunitukana kwa njia ya simu kutaleta ufanisi zaidi, nitakupa namba yangu.
5. Pia ninaweza kuja ulipo (ukipenda), unitukane ana kwa ana.
Jisikie huru mkuu: NITUKANE hadi pale nafsi yako itakapotosheka.
NB: Nilidhani hapa tunachangia hoja kwa mitazamo tofauti maana JF ni jukwaa la mijadala huru likijumuisha mawazo kinzani.
Nadhani sikua sahihi, hakika ninatakiwa kutukanwa.
Karibu sana kwa matukano ewe ndugu "mtukana wengine".
Thaconfession