ipo bhana...Sua kuna engineering?makubwaa
Kwenye vikao huji ila huku unapost kam kawa.......!! sio mbaya tutafight hata kwaajili yako...
ipo bhana...
Sua kuna engineering?makubwaa
Hata mimi nashangaa hapa. Tangu lini kukawa na engineering SUA?
eti SUA hamna engineering kama hauna data kaa kimya pumbafu...
hujielewi na kichwa chako umeweka kwa ajiri ya kufugia nywele!!!!!
Wakuu hivi mtu akiuliza kumjibu hadi utukane??? Unapungukiwa nini kujibu swali au kutoa maeleza bila maneno ya dharau??? Great thinking ndio iko hivyo?
Sawa mi nafugia nywele wewe fugia minyoo[/QUOT
kichwa kinamsaidia binadamu kufikiri kwa ufasaha sasa wewe kichwa chako weka kwa ajiri ya nywele hata popo anazo!
Wakuu kama mmenichukulia kwamba nimeuliza kwa dharau sorry ila mimi pia nimesoma engineering na sikuwahi kusikia kama huko kuna engineering pia. Asanteni now I know
expert gani umeshindwa hata kufanya utafiti mdogo kama huo vijaja wana hitimu kidato cha sita hayo ndio maswali yao sasa wewe engineer I am worrisome with ur credibility!!!!!!
Sua kuna engineering?makubwaa
Haya canop kwenye kikao nilikuwepo hadi pont ya mwisho.