SUA badilikeni, achaneni na Panya imetosha

Oct 13, 2018
35
259
Na Thadei Ole Mushi.

SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.

Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.

Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.

Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.

Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.

Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.

Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.

Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.

Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?

Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.

Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.

Ole Mushi.
0712702602

Screenshot_20210515-082142.png
 
SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.

Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.
Kumbe wana copy na kupaste!!!!
 
Na Thadei Ole Mushi.

SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.

Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.

Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.

Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.

Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.

Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.

Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.

Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.

Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?

Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.

Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.

Ole Mushi.
0712702602

View attachment 1785585

Naunga mkono hoja. Ndiyo maana kina msukuma, kibajaji, kishimba, Gwajima na mamburula lukuki yamekamata podium kuongelea mambo mazito mazito ya kitalaamu wasiokuwa na uelewa nayo wao wapo tu na vipanya wao.

No wonder world ranking ya vyuo vyetu iko huko iliko kwenye maelfu kadhaa.

Mama Samia ana kazi kubwa ya kuturejesha mstarini.

Total overhaul ya system inaweza kuwa ndiyo njia ya kuchukua.
 
Kwa taarifa yako:
1. Sua wanafanya tafiti nyingi sana, hiyo ya panya ni ndogo tu.

2. Hujui sua wametengeneza chanjo za magonjwa mengi ya wanyama ikiwemo kuku? Wiraza zenu izinaendelea kuabudu chanjo kutoka nje. Sio kosa la sua

3. Vipi vipaumbele vya taifa kuhusu maendeleo? Je wametenga bajeti kiasi gani na sua wakashindwa kuomba na kutekeleza? Umeelewa?

4. Training kubwa ya MSC na PhD sehemu kubwa tumeachia wafadhili, wakija na ajenda za panya wasiombe fund?

Yako mengi nadhani mleta mada anaufinyu mkubwa wa uelewa kuhusu hali za vyuo vyetu. Afanye tafiti kabla ya kukurupuka kuandika

Naishia hapo
 
Kwa taarifa yako:
1. Sua wanafanya tafiti nyingi sana, hiyo ya panya ni ndogo tu.
2. Hujui sua wametengeneza chanjo za magonjwa mengi ya wanyama ikiwemo kuku? Wiraza zenu izinaendelea kuabudu chanjo kutoka nje. Sio kosa la sua
3. Vipi vipaumbele vya taifa kuhusu maendeleo? Je wametenga bajeti kiasi gani na sua wakashindwa kuomba na kutekeleza? Umeelewa?
4. Training kubwa ya MSC na PhD sehemu kubwa tumeachia wafadhili, wakija na ajenda za panya wasiombe fund?
Yako mengi nadhani mleta mada anaufinyu mkubwa wa uelewa kuhusu hali za vyuo vyetu. Afanye tafiti kabla ya kukurupuka kuandika
Naishia hapo
Nimetumia chanjo yao mwaka jana ya magonjwa manne kwenye chanjo moja kwenye mifugo yangu

Kiukweli mpaka sasa mifugo hawajaugua

Jamaa wapo fit
 
Nimetumia chanjo yao mwaka jana ya magonjwa manne kwenye chanjo moja kwenye mifugo yangu
Kiukweli mpaka sasa mifugo hawajaugua
Jamaa wapo fit
Asante sana kwa mrejesho.
Mleta mada unataka SUA wafanye utafiti kwenye uranium na mabomu? Aisee hizo gharama nani anaweza kuzimudu maana hata wataalam hakuna na kile ni chuo cha kilimo na sio teknolojia ya nishati.
 
Nimetumia chanjo yao mwaka jana ya magonjwa manne kwenye chanjo moja kwenye mifugo yangu
Kiukweli mpaka sasa mifugo hawajaugua
Jamaa wapo fit
Jiulize mbona hiyo chanjo ya wazalendo haipigiwi debe ?
Pia angalia madukani Mbegu za mazao nyingi inatoka Kenya, hivi sua wameshindwa kuzalisha kupitia products zao? Wanalia bungeni hamna ajira wakati ajira tunaziachia kizembe. Yaan achabtu
 
Na Thadei Ole Mushi.

SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.

Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.

Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.

Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.

Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.

Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.

Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.

Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.

Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?

Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.

Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.

Ole Mushi.
0712702602

View attachment 1785585
hahahaha kweli ushauri mzuri ungewatumia kwenye sanduku la maoni wabadilike waende na kasi ya dunia
 
How comes SUA wafanye tafiti za nishati za uranium wakati ni chuo cha Kilimo na mifugo kwa specialization. Wenzako wanatumia panya sababu mifugo ndio sehemu ya specialization yao hivyo watatumia resources, knowledge walizonazo katika kufanya tafiti.

Mfano kuna tafiti za madawa ya kilimo mengi ambayo SUA wamefanya na kugundua dawa ambazo zinatumika kwa wingi kwa wakulima, Pia kuna mbegu za mazao pamoja na wanyama ambao SUA wamegundua na kuwauzia wakulima ila serkali yako ndo imeshindwa kupigia promo na kutoa motisha kwa wazalishaji wa ndani hivyo acha kulahumu.
 
How comes SUA wafanye tafiti za nishati za uranium wakati ni chuo cha Kilimo na mifugo kwa specialization. Wenzako wanatumia panya sababu mifugo ndio sehemu ya specialization yao hivyo watatumia resources, knowledge walizonazo katika kufanya tafiti.

Mfano kuna tafiti za madawa ya kilimo mengi ambayo SUA wamefanya na kugundua dawa ambazo zinatumika kwa wingi kwa wakulima, Pia kuna mbegu za mazao pamoja na wanyama ambao SUA wamegundua na kuwauzia wakulima ila serkali yako ndo imeshindwa kupigia promo na kutoa motisha kwa wazalishaji wa ndani hivyo acha kulahumu.
kwa uungwana kabisa, mtoa mada awaombe radhi wale jamaa, wako vizuri sana. Serikali yako imelala usingizi badala ya kuwatumia hawa jamaa kuzalisha ajira.
 
Kwani ni lazima SUA wafanye kila kitu? SUA wao wapo na panya, hivyo vingine fanya wewe...
Na Thadei Ole Mushi.

SUA wamekuja na panya wa Kupima Corona... Mimi nshaanza kuchoka na hawa panya wa SUA.

Sayansi hii ya kufundisha wanyama kunusa (Sniffing) kwa wenzetu ilianza muda mrefu sana. Ni mojawapo ya Technolojia ya kizamani kabisa. Huko Cuba Panya wameanza kutumika toka 1954 kunusa maeneo yenye madini, mobomu nk. Kwa sasa haitumiki Sana kwa kuwa njia za kisasa zaidi zimeendelea kugundilika kila kukicha.

Ni wakati sasa wa kuwaambia SUA badala ya kutrain Panya zaidi ambao hatuwatumii popote wajikite kwenye kugundua mabomu ambayo tutayauza au wajikite kwenye kufanya tafiti tunawezaje kutumia uranium iliyopo kule Dodoma kuzalisha nguvu za Nyuklia. Au wajikite kutengeneza Chanjo ya Corona ambayo tutaiuza.

Waliwahi kuja na panya wa kutambua TB lakini hakuna Hospital hata Moja inayotumia Panya kunusa makohozi. Bado njia za kisasa za kupima TB ndizo zinazoendelea Kutumika mahospitalini.

Hata hii ya kutegua Mabomu kwa kunusa ni ya zamani Sana. Majeshi ya wenzetu hawatumii Tena sniffing technology Sana nadhani tunapaswa kuanza kufikiria kubadilika.

Sio kwamba wenzetu hawawezi ku train Panya kufanya sniffing. Wanaweza Sana Ila ni technolojia ya Zamani mno watu walishahama huko wanaitumia technolojia hii mara Chache Sana.

Yaani Maabara za Dunia zipo busy kutengeneza Chanjo na Makampuni yanashindana kwenye kutengeneza Chanjo sisi tunamuwaza panya tu atusaidie kunusa watu wenye Corona.

Tuwekeze kwenye tafiti zitakazoleta faida na uvumbuzi wenye tija kwa Taifa na Dunia. Naona SUA wao kila kitu ni kuwaza Panya wao tu. Tumekuwa kama tumesimama mahali pamoja wenzetu wanakwenda mars na kurudi sisi tunalisha Panya Pumba tu hapo SUA. Na wameona hakuna Cha maana wanachofanya wameamua kuanzishwa course za Education. Jamani nafikiri hivi vyuo kila kimoja ki-save purpose yake.

Je kitu Wanachokiweza SUA ni Kutumia panya Kunusa Tu? Vyuo vikuu vingine wao kwani wanasemaje? Muhimbili pale kile kijumba Cha kujifukiza bado kipo?

Tunakwama wapi? Leo Tarehe 15/5/2021 asubuhi hii China imefanikiwa kurusha kifaa kwenda Sayari ya Mars na kimetua vizuri na kitakaa huko Miezi 3 kutafiti kama Kuna uwezekano wa maisha kwenye Sayari hiyo. Huko Sua Profesa anaamka na Box la Panya anaenda kuwachungulia na anatokea hadharani anasema amevumbua kitu.

Tubadilike... Dunia inakimbia sisi tumekaa kabisa na tumeanza kulala.

Ole Mushi.
0712702602
Kwani
Ani
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom