kiri12
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 635
- 554
Habari wadau, kuna kazi zilitangazwa kupitia Hilo jina hapo wanasema wapo chuo cha sua Moro huko, mwisho wa maombi ilikuwa tar 22 sept mwaka huu, naulizia kama kunaaliyeomba na ameitwa kwa usahili? Au kama kuna mtu amesikia wameita usahili atujuze maana Naona muda mrefu umepita.