Su & stj kutumika kwenye ujambazi;kunatuletea picha gani serikali yetu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,052
Ndugu wapendwa nimeumia sana na kusiktka sana sana kwa tendo lililotokea siku ya leo pale NMB...HAKIKA NAJUA MUNGU ALIE HAI ATAKWENDA KUWAADHIBU IPASAVYO WOTE WALIOSHIRIKI PAMOJA NA WALIOSHIRIKISHWA AMA WAKUU WA POLISI.AMA WANAJESHI...KUNA HILI SWALA LA KUONEKANA KWA MAGARI YANA NAMBA ZA STJ NA SU ....
YANATULETEA PICHA GANI KWA SERIKALI YETU KWAMBA HELA ZA UCHAGUZI AZIWEZIPATIKANA BOT ...AMA WANANCHI LAZIMA WACHANGIE ...HAYA MAMBO YANAITAJI MAANDAMANO SERIKALI KUJUA TUMECHOKA.....MI NAWAELZA HAYA MAMBO HAYATAISHA JAMANI ...WAHUSIKA WANAJULIKANA PURE...
 
Ndugu wapendwa nimeumia sana na kusiktka sana sana kwa tendo lililotokea siku ya leo pale NMB...HAKIKA NAJUA MUNGU ALIE HAI ATAKWENDA KUWAADHIBU IPASAVYO WOTE WALIOSHIRIKI PAMOJA NA WALIOSHIRIKISHWA AMA WAKUU WA POLISI.AMA WANAJESHI...KUNA HILI SWALA LA KUONEKANA KWA MAGARI YANA NAMBA ZA STJ NA SU ....
YANATULETEA PICHA GANI KWA SERIKALI YETU KWAMBA HELA ZA UCHAGUZI AZIWEZIPATIKANA BOT ...AMA WANANCHI LAZIMA WACHANGIE ...HAYA MAMBO YANAITAJI MAANDAMANO SERIKALI KUJUA TUMECHOKA.....MI NAWAELZA HAYA MAMBO HAYATAISHA JAMANI ...WAHUSIKA WANAJULIKANA PURE...

zile number ni za kughushi, kwani prado imepatikana na kukutwa na namba zake halisi. Taarifa za kipolisi zinasema prado hiyo iliporwa three days before the incident.

Usifikiri hawa hawajui, walitumia namba zile ili kuwazuga police wasi shitukie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom