T 2015 CDM
Member
- Sep 6, 2012
- 39
- 10
Ndugu zangu nimekuwa nikishangazwa kidogo na siasa zinavoendelea nchini mwetu hasa kati ya vyama viwili vikubwa. Kitu hiki kidogo kimekuwa kikinitatiza. Ivi ni kwa nini vyama hivi vinafungua matawi US na UK tu tena kwa ushindani na kuonyeshana na hawafungui matawi yao kwenye nchi kama Rwanda, Burundi, Msumbiji, Sudani, Urusi, Italy, Iran, Saudi Arabia au Dubai? Na kwa nini zaidi Washington DC na si New York au state zingine tukichukulia mfano wa US?
Je haya matawi yana umuhimu upi kwa ustawi wa vyama vyenyewe na demokrasia nchini mwetu maana hata idadi ya wanachama wanofutwa huko ni kituko. Kuna nini jamani? Hebu tujuzane kwa mapana hapa.
Na je hayo matawi yaliyo UK na US wanashiriki vipi katika michakato ya kuchagua viongozi wa chama wa ngazi za kitaita kama NEC n.k
"Just food for thought":frusty:
LIWALO NA LIWE eace:
Je haya matawi yana umuhimu upi kwa ustawi wa vyama vyenyewe na demokrasia nchini mwetu maana hata idadi ya wanachama wanofutwa huko ni kituko. Kuna nini jamani? Hebu tujuzane kwa mapana hapa.
Na je hayo matawi yaliyo UK na US wanashiriki vipi katika michakato ya kuchagua viongozi wa chama wa ngazi za kitaita kama NEC n.k
"Just food for thought":frusty:
LIWALO NA LIWE eace: