Stupid question, stupid answer

{1}Mtu anakukuta unafyatua matofali,anakuuliza;naona unafyatua matofali au vipi?,unamjibu;[hapana,ninaoka mikate!]
{2}Mtu anakukuta unavuta sigara,anakuuliza;na wewe unavuta sigara?,unamjibu;[hapana,hii ni chaki inaungua!].>>
{3}Mkeo anakuta namba ya mwanamke mwingine kwenye simu yako,anang'aka;niambie,na huyu ni nani?,unamjibu;[soma jina lake,si limeandikwa hapo!].

you are so excel.
 
Mmekutana njiani...
< Hivi ni wewe au nimekufananisha?
> Itakua ni mimi umenifananisha

< Umepotea sana ndugu yangu,upo kweli?
> Ni kweli nimepotea,ndo naenda kureport polisi wanisaidie kujitafuta

< Mbona una majibu ya kunya hivyo?
> Majibu ya kujamba nimeishiwa yamebaki ya kunya tu

Majibu haya mnaweza kupelekana polisi
 
Mtu anafika hospital na kukukuta upo kwenye foleni kisha anakuuliza vp unaumwa? unamjibu hapana nauza sura tu na washkaji hapa..

Akikuuliza una umwa. Mjibu sina umwa. Labda nikutafutie hiyo umwa kwa Docta.
 
Umepata ajali,mkeo anapewa taarifa anapiga simu huku analia
"Mume wangu umekufa"?
Unamjibu: Ndio mke wangu
 
Unaangalia soka....mtu anakutxt kuuliza updates. ...unamjibu
bila bila dakika ya 70....
Yeye anauliza tena...kipndi kipi?
 
Mtu anakupigia simu ucku saa saba unapokea anakuuliza umelala nini ?? ...... unamjibu hapana niko nje naota jua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom