Study in Ukraine Universities with ease

Jamani msije mkalizwa na Wanigeria!Kitu chochote kinachohusika na wanigeria for the moment ni fake hasa kinachohusika na pesa!
WATCH OUT
 
MSIUVAE MKENGE.

Nendeni ubalozi wa Ukraine au waandikieni wizara ya elimu ya Ukraine na watawapa msaada zaidi kuliko kwenda na hao jamaa. Mtaliwa mkiwa hai ni uwezekano mkubwa na asilimia ndogo sana watakuwa wakweli.
 
Mkuu Luba post 1 halafu ni ya tangazo la biashara.Embu andika kiswahili kwanza ili tuthibitishe kama wewe siyo mpopo!
 
Hawa ni majambanoka.
Manigeria wanamtandao mkubwa kweli, walivyo wahuni ukipiga namba hiyo atapokea na tena mnigeria, Sasa kwa kuogopa kusitukiwa ameweka kwamba ni ukraine na nigeria.
 
*Study in Ukraine through Charity Luba Consultancy, registered in the
countries of Ukraine reg No. 420592 and Nigeria with Reg. No. 812678,
and is approved by the Ministry of Education of Ukraine, license No.
000608 ....

Admission is on for 2010. Interested student should scan and send their credentials to our email.

*We also facilitate Visa procurement for student.

For further details contact:
Ukraine Office: +380934056565
Nigeria Office: +2348080500012, +2347062997444
Email:info@charitylubaconsultancy.com
Website:www.charitylubaconsultancy.com

[B said:
DID YOU KNOW?[/B]
CLC is working hard to help Nigerians and other African ???students to study in Europe
CLC provides help to students under their care?? all through their study.
CLC provides training to students and prepare them to face the challenges of their Educational environment. CLC provides seminars and workshop for Nigerian university students.
CLC always create a trusted and efficient service to students and create a bridge between students and their dreams.
Find us at Abuja Nigeria and Ukraine.

haya yanapatikana ktk hii website, huyu mtu asisahau kuwa watz utapeli wa hivi tunashtukia mapema sana, kutengeneza wesite km hii ni fasta tuu watu msizuzuke na utapeli huu! of all European countries why Ukraine?the least of mmm!
 
haya yanapatikana ktk hii website, huyu mtu asisahau kuwa watz utapeli wa hivi tunashtukia mapema sana, kutengeneza wesite km hii ni fasta tuu watu msizuzuke na utapeli huu! of all European countries why Ukraine?the least of mmm!

Kwanza kusoma europe kitu gani, watu watulie home wapige skuli home, labda ikitokea amekosa nafasi home. Lakini ukiniuliza mie wapi mahala pazuri pa kusomea kati ya ugaibuni na home mimi moja kwa moja nitakwambia usijisumbue na mambo ya ugaibuni.Labda tu kwa level ya juu kama Ph.D
 
Kwanza kusoma europe kitu gani, watu watulie home wapige skuli home, labda ikitokea amekosa nafasi home. Lakini ukiniuliza mie wapi mahala pazuri pa kusomea kati ya ugaibuni na home mimi moja kwa moja nitakwambia usijisumbue na mambo ya ugaibuni.Labda tu kwa level ya juu kama Ph.D

Kwenye bold hapo.
Kwanini umesema labda kwa level ya PhD mkuu na sio hizo level za Chini. Inawezekana kuna unalolijua utupe kabla hatujaenda hapo Mzumbe au UDSM kuanza PhD mkuu.
 
Mkuu Luba post 1 halafu ni ya tangazo la biashara.Embu andika kiswahili kwanza ili tuthibitishe kama wewe siyo mpopo!


May be Mnigeria amempa dada yetu,na anamtumia kupata market Tanzania!
Hawa watu wameharibu jina la Afrika,unapotembea nchi za Ulaya.

Whether drugs,fraud na sasa uterrorist(Abdul Muttalab0,hawana cha kusema.
Nenda Sauz uone drug kings wa Kinigeria!Ni hated people.
Sijaona movie DISTRICT 9,iliyotengenezwa Sauz,nafikiri ina elezea upopo wao
 
Kwenye bold hapo.
Kwanini umesema labda kwa level ya PhD mkuu na sio hizo level za Chini. Inawezekana kuna unalolijua utupe kabla hatujaenda hapo Mzumbe au UDSM kuanza PhD mkuu.

Mkuu ni mawazo yangu na naomba uyachukulie hivyo.
Ph.D ktk fani nyingi inahitaji miundo mbinu thabiti ambayo itakusapoti na kukuwezesha ufanye vizuri. Na kingine nachofikiri Ph.D inahitaji wasimamizi ambao wako to date, nahisi sie waafrika ktk vyuo vyetu ukishakuwa prof basi unalizika kiaina , na fanya tafiti nafikiri unaweza kubali kwamba ma Dr na Prof wetu ni passive. Ni hoja tu.
 
Huko nendeni wenyewe bana kwanza wanigeria wapo hapo kati pili ni Ukraine nendeni siku hizi sio ili mradi vyuo manweza kurudi home na kuambiwa mna degree fake
 
Jamaa limbukeni kwelikweli. Anadhania ni wanaija tu ndio waliofuta ujinga? Haingii kingi mtu..Ebo!
 
Kwanza kusoma europe kitu gani, watu watulie home wapige skuli home, labda ikitokea amekosa nafasi home. Lakini ukiniuliza mie wapi mahala pazuri pa kusomea kati ya ugaibuni na home mimi moja kwa moja nitakwambia usijisumbue na mambo ya ugaibuni.Labda tu kwa level ya juu kama Ph.D

Si kweli mzee ina maana unataka kulinganisha elimu ya Bongo na ya Harvard, Cambridge, Oxford na vinginevyo? Inategemea chuo gani na nchi gani kaka. Unadhani Dk aliyemaliza Muhimbili anaweza kuruhusiwa kuja kupractice UK?
 
Si kweli mzee ina maana unataka kulinganisha elimu ya Bongo na ya Harvard, Cambridge, Oxford na vinginevyo? Inategemea chuo gani na nchi gani kaka. Unadhani Dk aliyemaliza Muhimbili anaweza kuruhusiwa kuja kupractice UK?[/QUOTE

Wanaweza kupractise UK,lakini mpaka wafanye mitihani tena.
Medicine ya Tanzania ni very poor ,Professor wa Muhimbili ni mediocre Ulaya,with few exceptions
 
Si kweli mzee ina maana unataka kulinganisha elimu ya Bongo na ya Harvard, Cambridge, Oxford na vinginevyo? Inategemea chuo gani na nchi gani kaka. Unadhani Dk aliyemaliza Muhimbili anaweza kuruhusiwa kuja kupractice UK?

Mkuu
Mamo ya udaktari siyaelewi vizuri,nafikiri haya yanategemeana nchi na nchi, nafikiri japo sina uhakika daktari aliyemaliza Cambridge anaweza asiruhisiwe ku-praktsi Ukraine mpaka apasi mitihani yao kadha wa kadha.

Mkuu kwani tofauti ya Chenge wa Havard na Lowasa wa Udsm ni nini?
Nafikiri elimu ni ile ile ila kwa bongo inakosa vionjo fulani kutokana na u-passive wa ma lecturer na hata hivyo elimu ya chini kwa vile unaweza fanya vizuri sana kama mwenyewe upo active kwa kudownload pdf na simulators kutoka ktk internet ndo maana nasema hakuna haja ya kwenda Cambridge.

Ama mzee wewe unaona je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom