AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Habari Familia yangu ya MMU na wana JF woote...
Hopefully you and your Loved ones woote ni wazima and have spent the Weekend to perfection.... Leo nimeona tuweke maswala ya Wapenzi pempeni na tuangalie familia zetu… Hasa kama nafasi yako wewe ni Mzazi ama mlezi wa familia… Ni muhimu kua utaposoma hili bandiko utasoma huku ukifikiria familia yako na your role katika familia yako katika maswala nitayogusia hapa…
Wazazi/Walezi wengi katika mahusiano ya familia na jinsi ya kuyaboresha tumekazania saana mahusiano ya Mapenzi kati ya Mke na mume/Mtu na Mpenzi wake tukisahau kabisa kuangalia na watoto wetu… Ziwe za watoto wetu ama na watoto wa ndugu zetu ambao tunaishi nao na kuwalea… Pamoja na kusema kua Wazazi/walezi woote tunazingatia yalo muhimu hasa kwa mahitaji basics kama malazi, shule, nguo, chakula na hata kujitahidi kuwalea kisasa waende na pace ya kasi ya ulimwengu wa leo kadri ya uwezo wetu…. In most cases nime observe kua wazazi/walezi wengi tumesahau kabisa suala la Mapenzi within and between watoto katika familia, For nahisi imechukuliwa for granted kua itaota na kushamiri….
Suala la kushamiri kwa Mapenzi ndani kati ya watoto ndo hasa lililonifanya niweke hili bandiko hapa… What parents should note IMO ni kua Mapenzi kati ya Mtu na Mpenzi wake as much as mara nyingi hujiendesha huku yakifuata mkondo wake…. Mapenzi ndani ya familia kati ya wazazi na watoto/kati ya watoto na watoto yanatakiwa yapandikizwe… yapaliliwe… na kujengwa na wazazi/walezi kwa hali ya juu saana na kwakutumia busara saan; hio ikiambatana na jinsi muwaleavo…. Kuna mifano mingi ambayo tumeona kua wanandugu wa damu kabisa hawaelewani wala kupatana… kila mmoja akijiona ni bora kuliko mwenzie, kila wakionana ni kulumbana kiasi kwamba observers waweza fikiri hata hamna blood ties… (sababu ya chuki yaweza kua nyingi, but naamini kwa kiasi kikubwa hata the way hao siblings walilelewa na wazazi/walezi yaweza changia kwa wao kuvunjiana heshima na kutopendana)
Kikubwa ambacho wazazi/walezi inabidi tutambue ni kua kuna mambo ambayo mara nyingi yaweza onekana kama ni madogo na kwamba effects zake ni ndogo… Kumbe in a long run ni moja ya vi aspect ambavo uharibu kabisa mahusiano kati ya watoto…. IMO naona ni bora watoto wangu wakanichukia mimi kama mzazi wao (God Forbid!!) kama hio chuki yao itafanya wao wapendane kwa dhati to the extent kua hamna mfano… kwamba watashikana wakati wa shida na raha… wataheshimiana… watajaliana na watakua pamoja kiasi kwamba hakuna mtu aweza waingilia kati… For they are the future generation na wewe tayari generation yako inapita/imepita…. Kila Mzazi naamini anapenda iwe hivi –But we have to look at our selves with a detached eye…. Kua; Is what we are doing in collaration na end result ambayo tuna strive?? - Yaani strong love ties as well as blood ties between our beloved children…
Kujibu Hio in Purple IMO haya ni baadhi ya mambo ambayo yaweza kutuongoza kama Wazazi/Walezi; kua to what extent tunacheza nafasi zetu kuhakikiksha there is love ties kati na within the family hasa watoto….
Wana JF naamini ni mengi inabidi tuangalie… Na naamini ni moja ya sehemu tumechukulia saana for granted but ina umuhimu saana hasa hiki kizazi cha dot com ambacho yaonesha huko mbele kila mtu atashika zake…. Kama Wazazi/Walezi ku maintain hizo blood ties as well as Love ties…. hio ni kazi saana but naamini at least we try/should try. Hivo naomba saana michango yenu na tuweze jadili kwa upana mambo ambayo nimegusia hapa…. Kwa wale ambao ni wadogo (bado sio wazazi) waweza gusia tu in relation na topic… as in labda hayo yalotajwa hapo juu ni jinsi gani ipo applicable kwao or kama wanaona kweli ni mhimu…. Asanteni.
Pamoja Saaana
AshaDii.
Hopefully you and your Loved ones woote ni wazima and have spent the Weekend to perfection.... Leo nimeona tuweke maswala ya Wapenzi pempeni na tuangalie familia zetu… Hasa kama nafasi yako wewe ni Mzazi ama mlezi wa familia… Ni muhimu kua utaposoma hili bandiko utasoma huku ukifikiria familia yako na your role katika familia yako katika maswala nitayogusia hapa…
Wazazi/Walezi wengi katika mahusiano ya familia na jinsi ya kuyaboresha tumekazania saana mahusiano ya Mapenzi kati ya Mke na mume/Mtu na Mpenzi wake tukisahau kabisa kuangalia na watoto wetu… Ziwe za watoto wetu ama na watoto wa ndugu zetu ambao tunaishi nao na kuwalea… Pamoja na kusema kua Wazazi/walezi woote tunazingatia yalo muhimu hasa kwa mahitaji basics kama malazi, shule, nguo, chakula na hata kujitahidi kuwalea kisasa waende na pace ya kasi ya ulimwengu wa leo kadri ya uwezo wetu…. In most cases nime observe kua wazazi/walezi wengi tumesahau kabisa suala la Mapenzi within and between watoto katika familia, For nahisi imechukuliwa for granted kua itaota na kushamiri….
Suala la kushamiri kwa Mapenzi ndani kati ya watoto ndo hasa lililonifanya niweke hili bandiko hapa… What parents should note IMO ni kua Mapenzi kati ya Mtu na Mpenzi wake as much as mara nyingi hujiendesha huku yakifuata mkondo wake…. Mapenzi ndani ya familia kati ya wazazi na watoto/kati ya watoto na watoto yanatakiwa yapandikizwe… yapaliliwe… na kujengwa na wazazi/walezi kwa hali ya juu saana na kwakutumia busara saan; hio ikiambatana na jinsi muwaleavo…. Kuna mifano mingi ambayo tumeona kua wanandugu wa damu kabisa hawaelewani wala kupatana… kila mmoja akijiona ni bora kuliko mwenzie, kila wakionana ni kulumbana kiasi kwamba observers waweza fikiri hata hamna blood ties… (sababu ya chuki yaweza kua nyingi, but naamini kwa kiasi kikubwa hata the way hao siblings walilelewa na wazazi/walezi yaweza changia kwa wao kuvunjiana heshima na kutopendana)
...Kupanda/kupalilia na Kujenga Mapenzi…
Kikubwa ambacho wazazi/walezi inabidi tutambue ni kua kuna mambo ambayo mara nyingi yaweza onekana kama ni madogo na kwamba effects zake ni ndogo… Kumbe in a long run ni moja ya vi aspect ambavo uharibu kabisa mahusiano kati ya watoto…. IMO naona ni bora watoto wangu wakanichukia mimi kama mzazi wao (God Forbid!!) kama hio chuki yao itafanya wao wapendane kwa dhati to the extent kua hamna mfano… kwamba watashikana wakati wa shida na raha… wataheshimiana… watajaliana na watakua pamoja kiasi kwamba hakuna mtu aweza waingilia kati… For they are the future generation na wewe tayari generation yako inapita/imepita…. Kila Mzazi naamini anapenda iwe hivi –But we have to look at our selves with a detached eye…. Kua; Is what we are doing in collaration na end result ambayo tuna strive?? - Yaani strong love ties as well as blood ties between our beloved children…
Kujibu Hio in Purple IMO haya ni baadhi ya mambo ambayo yaweza kutuongoza kama Wazazi/Walezi; kua to what extent tunacheza nafasi zetu kuhakikiksha there is love ties kati na within the family hasa watoto….
- Ni wazi kua mara nyingi saana wazazi hua wana mtoto ambae ni the most favourite… Je hayo mapenzi yako ya ziada kwa huyo mtoto yapo wazi… in the sense kila mtoto anatambua kua Fulani anapendwa zaidi kuliko wengine??
- Ni wazi kua mara nyingi watoto wamejaliwa upeo tofauti na uelewa tofauti hivo kufanya awepo mtoto ambae anaonekana kipanga kuliko mwingine (thou wengine hua vilaza ama vipanga woote) Je hua unawatreat vipi hawa watoto ambao level zao za IQ ni tofauti ili isi affect mahusiano ya mapenzi na heshima kati ya watoto….
- Kuna ule msemo wa black sheep of the family…. Kama huyo mwanao ni black sheep; umeshatafakari wewe kama Mzazi/Mlezi nafasi ambayo umecheza kwa yeye kua hivo au escalation ya hio tabia…Vitu kama unapomgombeza – Unamgombeza mbele ya wenzie?? unagomba tu kwa hasira siku zooote?? (umewahi kaa nae bila hasira na kumwambia the way tabia yake inaweza mletea madhara ama kila siku ni matusi na vichapo??)
- Kwa wale ambao watoto woote ni boarding na hao watoto huonana mara mbili ama tatu kwa mwaka tena kwa week chache… Mnafanya nini ili kuhakikisha the siblings are not strangers to one another?? Unahakikisha wana spend vipi mda as a family?? Unafanya nini ili wajue na kutuambua kua family comes first NO MATTER what?? Je ratiba yao iko soo tite centred on improving personal lives ya kila mmoja, bila kuweka kabisa kipengele cha muhimu kua pia inabid yeye mtoto atambue kua inatakiwa kutengwa mda kwa ajili ya familia pia…
Wana JF naamini ni mengi inabidi tuangalie… Na naamini ni moja ya sehemu tumechukulia saana for granted but ina umuhimu saana hasa hiki kizazi cha dot com ambacho yaonesha huko mbele kila mtu atashika zake…. Kama Wazazi/Walezi ku maintain hizo blood ties as well as Love ties…. hio ni kazi saana but naamini at least we try/should try. Hivo naomba saana michango yenu na tuweze jadili kwa upana mambo ambayo nimegusia hapa…. Kwa wale ambao ni wadogo (bado sio wazazi) waweza gusia tu in relation na topic… as in labda hayo yalotajwa hapo juu ni jinsi gani ipo applicable kwao or kama wanaona kweli ni mhimu…. Asanteni.
Pamoja Saaana
AshaDii.