mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 16,037
- 35,904
Ndio hivyooh kumbe ndo maana inashauriwa ktk kuoga kuanza kujimwagia maji mguuni n.k
Ndio hivyooh kumbe ndo maana inashauriwa ktk kuoga kuanza kujimwagia maji mguuni n.k
kivipi mkuu..Mazoezi ya wastani ni muhimu sana wakuu, tusisahau kuoga maji moto walau mara moja kwa wiki.
Na tuache tabia ya kufanya mazoezi ili kupata joto la kwenda kuoga, ni mbaya sana.
Kwenye swala lipi sasa hapo Mkuu, maana umeuliza kwa ujumla sana Mkuukivipi mkuu..
Lifestyle is everything. If you want your wealthy health, deal strictly with your lifestyle.
Yeah, ni lazima. Ukipata stroke lazima ubakie na alama ya ushahidi kua ulipata stroke.Hata jamaa mdomo hajarudi kama vile
Ww huwa ni mjinga sana....Ana bahati sana huyo bwana. Angekuwa kwenye nchi za kina mfalme juha mbona nyungu, mikaratusi, michai chai, na hata kikombe cha babu Loliondo vingemhusu?
Bila shaka hata kwa mheshimiwa Mshana Jr kwa ajili ya kusafisha nyota angeshazuru.
Makwetu wa stroke kama hivyo huwa wametupiwa majini. Wa Corona hupelekwa kutibiwa Loliondo, kwa babu asiyekuwa na barakoa wala kuhitaji PPE. Yakimkuta tunasema Mungu alimpangia kufa hivyo.
Ujinga mzigo. Katika rundo la wajinga sote hatuwezi kufuata mkumbo kama misukule, hata kama "chief architect" ni jiwe mwenyewe mapumzikoni Chatto.
Ndiyo maana hachoki mtu hapa! Chanjo kwanza:
CHADEMA: Jahazi liko imara pasi na kutetereka
Imeelezwa mara nyingi kuwatofautisha wajumbe JF na vyama vya siasa. Kama ilivyo kwa vyama vingine, CHADEMA ni taasisi kubwa yenye kuendesha shughuli zake rasmi ofisini na siyo mitandaoni chini ya wajumbe fake. Ikumbukwe kuwa CHADEMA imekuwa mshirika wa dhati wa wananchi dhidi ya Corona...www.jamiiforums.com
Mapambano yana maana pale tu tunapokuwa na afya zetu.
Aluta Continua!
Jamaa angesepa angeacha mke mabinti 2 na kijumba cha ghorofa!!?Hata jamaa mdomo hajarudi kama vile
Point yko ya kufnya zoezi ili kutafta joto hlf ndo ukaogeKwenye swala lipi sasa hapo Mkuu, maana umeuliza kwa ujumla sana Mkuu
Ninaweza kuwa mjinga lakini siwezi kukuzidi wewe jombi.Ww huwa ni mjinga sana....
uzi wwte lazima utafute namna ya kumuingiza Magufuli......hv alikupiga mimba!
Sijakuelewa mkuu wangu unamaanisha nini naona manyotanyotaNilikuwa nikikimbia 25 km miaka 10 iliyopita, siku hizi hata sipigi hata pushap 2...
Kiharusi sio kuacha pombe, usiache mazoez, usiache kula vzr, usithubutu kufanya mazoez bila lishe bora, utaKosa calories
Ajabu Sana hiiKwanini wengi hupata stroke bafuni?
Nilikuwa napiga kila siku aisee yaani mpaka nikawa najishangaa nilikuwa flexible mnooo huwezi amini kuna kipindi nilikuwa nikitoka ofisini kule Bamaga jioni nakimbia mpaka tabata kimanga nanyoosha na barabara tu hiyo non stop mpaka home,Dr alinikataza akasema umri wangu sipaswi kukimbia umbali mrefu hivyo...Rudia Mazoezi Mkuu. Ulikuwa Vyema. Kilomita 25!
Hapo una maana ya maili 18 ama 19 hivi.
Kila siku? Ama per Week?
Upo vyema mkuu. Ponge,zi. Usiache.
Kuna watu watakuja kukupiga mawe kwa hiliKuna stroke za kawaida na za kiasili wachawi wakiwa darasani huwa kuna somo lao la kumtupia mtu huo ugonjwa,hata uende hospitali gani huponi.so ukiwa na mgpnjwa wa stroke jaribu njia zote,hospital na tiba asili usione haya uchawi upo
Rahisi sana misuli kukaza au hata moyo kusimama.Point yko ya kufnya zoezi ili kutafta joto hlf ndo ukaoge
Kichaa jinga la mwisho pita vileNinaweza kuwa mjinga lakini siwezi kukuzidi wewe jombi.
Maana kama ni popoma basi wewe ni lile lilokuwa popoma kweli kweli maana si ujinga tu bali na upumbafu kabisa mumo kwa mumo!
Hivi hata akili unazo japo kidogo kufikia za kuku kweli wewe?
Jinga kabisa!
Kichaa jinga la mwisho pita vile
Mjinga hujielewi ww....Kichaa jinga la mwisho lililopitaliza pita vile ukapumzike kwa amani tunakoyaweka mamburula useless yaliyopitiliza kama wewe.
Wala usikonde utayakuta na mienzako kama wewe huko.
Don't even mind to write back
Nyambafu!