Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Tupo wanne tumetokea kuelewana na kuwa marafiki wakubwa. Rafiki yetu mmoja amefanikiwa kujenga nyumba nzuri tu ya ghorofa, anaishi na mume wake na mabinti zao wawili.
Weekend moja alitulika katika sherehe ya mtoto, hatukua wengi sana, kwakua sherehe ilikua ni ya watoto, yeye na mume wake waliamua kuwa na watu wao wa karibu. Tulikula na kucheka na kuagana.
Wiki iliyofuatia rafiki yetu aliymtupigia simu, mume wake amepata stroke! Ilimtokea akiwa anaoga asubuhi, alikimbizwa Hospital. Alilazwa kwa wiki mbili baada ya hapo alirudi nyumbani. Ilibidi awekewe kitanda sebuleni hakuweza kupanda ngazi za kwenda chumba kwake.
Aliendelea na mama cheza kwa mwezi mmoja. Baada ya hapo alitafuta mama cheza wa private. Alifanya mazoezi kwa miezi mitatu. Sasa hivi amerudi katika hali ya kawaida. Ila amebadili mfumo wake mzima wa maisha. Ana kimbia kila siku, hali nyama tena na pombe ameacha.
Weekend moja alitulika katika sherehe ya mtoto, hatukua wengi sana, kwakua sherehe ilikua ni ya watoto, yeye na mume wake waliamua kuwa na watu wao wa karibu. Tulikula na kucheka na kuagana.
Wiki iliyofuatia rafiki yetu aliymtupigia simu, mume wake amepata stroke! Ilimtokea akiwa anaoga asubuhi, alikimbizwa Hospital. Alilazwa kwa wiki mbili baada ya hapo alirudi nyumbani. Ilibidi awekewe kitanda sebuleni hakuweza kupanda ngazi za kwenda chumba kwake.
Aliendelea na mama cheza kwa mwezi mmoja. Baada ya hapo alitafuta mama cheza wa private. Alifanya mazoezi kwa miezi mitatu. Sasa hivi amerudi katika hali ya kawaida. Ila amebadili mfumo wake mzima wa maisha. Ana kimbia kila siku, hali nyama tena na pombe ameacha.