Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nilifikiri women hawataruhusiwa, nilitaka kusema basi haitakua na wateja wengi, lakini kama wapo itakua mzuka sanaaaAs member only private club....
Gentlemen's club...purpose ni kukutanisha people were men's culd go and relax ,mix with friends talk business,play games,get a meal and if possible stay overnight for business purpose.....
sasa huyu kanunua hilo la nini tena wakati yeye ni menKelly,
Ukifanikiwa basi nipe tip za mwanasheria wako ili na mie nifungue SEX SHOP kama hii aliyotembelea Michuzi.... Au tayari Wahindi na Wachina wameshaanzisha? Ni vema kuwafahamu washindani wako.
natafuta location ya kufngua strip and gentleman club in dar!....kuna mtu ana idea ya any great location?...nilikuwa nafikiria mitaa ya pale downtown karibu ha zamani sheraton hotel/jumba la sanaa...
business mind hebu nipeni idea ya great location ya kufanya vitu kama hivi nahitaji sehemu iliyotulia haina fujo wala vibaka...high quality...maana target ya hii joint nayotaka kufungua ni kwa watu poteantial customer wenye hela zao ambao wanajua kutumia na kutoa tips ya maana......
xoxo
why do't you openly say GAY BAR'? we r doomed now....
As member only private club....
Gentlemen's club...purpose ni kukutanisha people were men's culd go and relax ,mix with friends talk business,play games,get a meal and if possible stay overnight for business purpose.....
As far as strip club!.....for leisure...a nightvlub or bar where striptease is regularry performed....(men and women strip club)..other related task such as lapdancing..more explicity adult entertainment such as sex shows.....
Oh jumba la sanaa linavunjwa...any potential buyer?....that is very alright maana ile sehemu ndiyo nilikuwa naifikiria sana....pako quite!
Umekuwa yahaya hussein wewe...!?Wabongo wanafiki sana,mnajidai mnapinga humu lakini ikifunguliwa ndio wateja nambari wani na mishahara mtamalizia humo humo,bora zije joint kama hizi maana atleast kutakuwa nna safety kidogo kuliko huko bar mnapolala na kuondoka na vyangudoa mnapolewa na hakuna safety yeyote
...target ya hii joint nayotaka kufungua ni kwa watu poteantial customer wenye hela zao ambao wanajua kutumia na kutoa tips ya maana
kutakuwa na medical check up before entering the club...
Na hiyo medical check up itafanyika na Dr wangu wmenyewe .
Before you go any further,try to find out if the law allows this!!!!!!!!
You might find yourself landing in jail!