Ngoja waje tunawasubiri kwa hamuem tusikie maoni ya Wapalestina wa Bombambili Songea kuhusu huu ukatili.
Hivi hili neno "mzee baba" chanzo chake ni wapi?Poa mzee baba
Mkuu, Bombambili Songea siku hizi kuna wapalestine?em tusikie maoni ya Wapalestina wa Bombambili Songea kuhusu huu ukatili.
Huyu afande feki wa hapa jf anauzaga nini? Karanga?kamanda umesahau tangazo lako au mzigo umeisha afande?
Mkuu, nilikuwa ninauza vitabu vya kujifunzia lugha ya kijerumani hapa JF ila ninaona Mods wanalikataa lile tangazo langu. Walinipiga mpaka Ban.Huyu afande feki wa hapa jf anauzaga nini? Karanga?
Wewe ndiye unajiita team Tundu Lissu?em tusikie maoni ya Wapalestina wa Bombambili Songea kuhusu huu ukatili.
Chadema kumbuka shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royalkamanda umesahau tangazo lako au mzigo umeisha afande?
wewe wasema.Wewe ndiye unajiita team Tundu Lissu?
Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Jpm baba laoAsantee.
Ninakuona kijana wa CCM. Mwaka huu vp kaka?Anachokifanya Tundu Lissu kwa sasa ni kutafuta umaarufu kwa ajili ya 2025. Jpm baba lao
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Dodoma kimepita bila kupingwa katika vijiji, mitaa na vitongoji 3,905 kati ya 4,032 vilivyopo sawa na asilimia 96.85.Asantee.
Ana roho ya simba hakikaHuyu dada ni mwamba
CCM tumejiandaa kufanya kampeni za kijeshi nchi nzima usiku na mchana nyumba kwa nyumba kitanda kwa kitanda Tutawashawishi wananchi wampe Magufuli ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.Huyu dada ni mwamba
Hakika...alikuwa.jasiri
Kama Rais Magufuli ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Magufuli.Mkuu, Bombambili Songea siku hizi kuna wapalestine?
Sahihi kabisa mkuu.Kama Rais Magufuli ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera Magufuli.
Utafiti umefanyika Rais Magufuli atashinda kwa 98% Miaka mitano tu Rais Magufuli ametupeleka uchumi wa kati miaka mitano ijayo, Rais Magufuli atatufanya tuwe kama Qatar.Mkuu, Bombambili Songea siku hizi kuna wapalestine?