Wakati tukiona wimbi la tatu likianza nchi za jirani, Raisi wetu ana mpango gani kuhusu korona?
Mbona bado takwimu hazijaanza kutolewa?Je huko mikoani kuna vipimo?
Je hospitali zote hasa mikoani zimetayarishwa pamoja na vitendea kazi?
Je vyama vya madaktari vinasemaje?
Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Beberu wa vita vya uchumi anasema well said.
Usikatishwe moyo na mamburula ambao kwetu ndiyo wanaojidhani matenki ya mafikara. Wewe umefanya sehemu yako.
Hawa huwa tunawakumbusha safari za kwenda Uhuru zinapowiva. Hawajapata kujifunza na hawawezi kujifunza.
Wapo kama makenge tu. Kusikia kwao hadi damu masikioni.