Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,754
Who am I? You may answer I am me myself and I...! But how??? Tujadili
Kuna maswali mengi yasiyo na majibu au yenye majibu mengi kwa wakati mmoja
Tumekuwa mara nyingi tukisema au tukisikia wengine wakisema, nyumba yangu, gari yangu, mali zangu kazi zangu, roho yangu, mwili wangu pumzi yang nk nk..lakini ulishawahi kujiuliza wewe ni nani?
Mimi kama mimi I do not exist!!! Mimi ni muunganiko wa vitu viwili, mwili na roho/ ufahamu. Bila muungano wa hivyo vitu viwili mimi sipo na kimojawapo hakiwezi kusimama peke yake na kunitengeneza mimi
Mara nyingi roho inapoachana na mwili hubaki mimi ambaye sipo ,na tunapokuwa pale makaburini kuuhifadhi mwili 'wangu' tutasikia maneno kama haya eeh Mungu iweke roho yake mahali pema peponi na mwili wake tunauzika leo
Kwahiyo kuna mwili wangu, kuna roho yangu mimi niko wapi?
Ukiielewa hii phenomenona hutaishi kwa uchoyo uliopitiliza wa kutaka kila kitu kujilimbikizia wewe wakati wengine hawana hutajipenda kuliko wengine wala hutawafanyia wengine ubaya almradi tu ujinufaishe kwakuwa wewe hupo na hutakuwepo...!inaweza kuwa ngumu Kidogo kuolewa na kuikubali hii lakini ndo ukweli ulivyo
Kama huamini jiulize wewe ni nani uone kama utapata jibu moja na la uhakika..!weka dini kando, baki kwenye uhalisia
Kuna maswali mengi yasiyo na majibu au yenye majibu mengi kwa wakati mmoja
Tumekuwa mara nyingi tukisema au tukisikia wengine wakisema, nyumba yangu, gari yangu, mali zangu kazi zangu, roho yangu, mwili wangu pumzi yang nk nk..lakini ulishawahi kujiuliza wewe ni nani?
Mimi kama mimi I do not exist!!! Mimi ni muunganiko wa vitu viwili, mwili na roho/ ufahamu. Bila muungano wa hivyo vitu viwili mimi sipo na kimojawapo hakiwezi kusimama peke yake na kunitengeneza mimi
Mara nyingi roho inapoachana na mwili hubaki mimi ambaye sipo ,na tunapokuwa pale makaburini kuuhifadhi mwili 'wangu' tutasikia maneno kama haya eeh Mungu iweke roho yake mahali pema peponi na mwili wake tunauzika leo
Kwahiyo kuna mwili wangu, kuna roho yangu mimi niko wapi?
Ukiielewa hii phenomenona hutaishi kwa uchoyo uliopitiliza wa kutaka kila kitu kujilimbikizia wewe wakati wengine hawana hutajipenda kuliko wengine wala hutawafanyia wengine ubaya almradi tu ujinufaishe kwakuwa wewe hupo na hutakuwepo...!inaweza kuwa ngumu Kidogo kuolewa na kuikubali hii lakini ndo ukweli ulivyo
Kama huamini jiulize wewe ni nani uone kama utapata jibu moja na la uhakika..!weka dini kando, baki kwenye uhalisia