vyankende
New Member
- Dec 6, 2017
- 1
- 0
Straika Mpya Kutoka Zambia, Jonas Sehukawa ameifungia klabu ya Simba goli la Pili katika ushindi wa goli 3-1 ilioupata Simba dhidi ya klabu ya KMC jioni ya leo.
Sehukawa ameweza kuifungia timu hiyo goli ambalo huenda likampatia tiketi ya moja kwa moja kusaini mkataba wa kuitumikia simba wakati dirisha la usajili likielekea kufungwa.