Ufutwe tena JF raha sana.Umemaliza kila kitu Uzi ufutwe Sasa.
Hapo atakuwa alikulaani sana moyoniSisi tulichukua nyumba bila dalali.
Mmoja wetu (asietaka iyo nyumba) alienda na dalali wakazurura akapata nyumba ila akajofanya hajaipenda. Akasepa, akamchorea ramani yule anaeitaka. Jamaa straight akaenda kwenye nyumba akaongea na maza house, akakubali maza house akailipia.
Kurudi madalali kesho na mtu wanasema nyumba imelipiwa. Wakajaribu kumjua alielipia wanakuta sura ngeni. Wakajua wamezungukana wenyewe kwa wenyewe.
Akiniwahi ni bahati mbaya ila haiwezekani kuwa mtumwa wa dalaliAkikuwahi je...!!! kumbuka wanatumia na uchawi pia....