Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,055
"Single life is better than marriage life."
Hata wanaume pasua kichwa pia mkuu, wapo wanawake huku mtaani wanapitia mateso makubwa sana kutoka kwa waume zao na wanavumilia tu wakiangalia watoto waliozaa. So hakuna aliye mzuriSisi wanaume mara nyingi tunakaushia mambo mengi sana wanawake wa siku hizi ni jeuri mpaka basi ndani ya nyumba mwanaume hajulikani ni nani maana mwanamke nae anataka awe baba mwenye nyumba.Basi ni full mifujo dah ila wengine tumeshazaa nao ukiangalia watoto inakuingia roho ya huruma kua hawa watoto watahangaika tu ni bora mm nivumilie tu..kweli kosea kujenga ila sio ukosee kuoa itajuta.
sikatai hilo ila kaa ukijua mwanaume aliye amua kuoa kwa ridhaa yake kutoka moyoni.Kwamba nataka kuoa mara nyingi sana hua wanatulia mkuu ila sasa huyo muolewaje ;sio wote huwa hawako comited.wengine wanaolewa kutoa aibu tu kwa hiyo wakiingia ndani ya ndoa hao hua ni shida na ndo maana watu wanakua na michepuko ili kupunguza stress za michubuano ndani ya nyumba...NB.fanya uchunguzi sababu ya ndoa nyingi kuvunjika harafu nipe mrejesho .....Ndugu.Hata wanaume pasua kichwa pia mkuu, wapo wanawake huku mtaani wanapitia mateso makubwa sana kutoka kwa waume zao na wanavumilia tu wakiangalia watoto waliozaa. So hakuna aliye mzuri