The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,218
- 4,533
Mtoto mmoja akiwa anatoka shule akielekea nyumban aliona paka mdogo akiwa amekufa. Akamsogelea na kumgusa kwa huzuni. Akamgusa tena, akamgusa tena, akamgusa tena, akamgusa tena, akamgusa tena, akamgusa tena. Kama nilivyosema stori ni ya kugusa sana.