Georgie Jr
Senior Member
- Aug 23, 2018
- 134
- 367
Hivi kama ukitanguliza drone yenye kamera ikapiga picha mkaona yaliyopo uko chini, si inawezekana kabisa kujipanga kwenda kuchukua mzigoHapo ni kuyavamia tu hayo mapango, tunaenda na siraha zetu na mbuzi mmoja wa kumtanguliza chini kama chambo. Shida ni ule mwanga ulitoka wapi au kuna volikeno, ila pangekuwa na joto. Sasa tunaanzia wapi ,vitendea kazi vipo nahitaji nguvu kazi shuguri ianze mara moja au mpo tayari kufa masikini nyinyi
Kwa urozi mshana yupo tutaambatana nae, yy atafanya matambiko ya kimira mm na wengine tutakuwa na Ak 47 mkononi kwa ajiri ya hao majoka na wapuuzi wengine watakao jaribu kudhoofisha mpango wetu.