Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 953
- 2,070
Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Story ya Mussa kutumia miaka 40 kutoka Misri hadi Israel ni uongo mtupu, hata kama zamani hawakua na Ndege au Magari lakini pale sio mbali ki hivyo.Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho.Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia.Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu.
Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini YAKO?
We jamaa mbingu utaishia kuisoma JF
Vipi ile chai ya qurani kushushwa toka mbinguni eti na jamaa akainakili bila kukosea hata nukta.Ngano ni hadithi fupi inayosimuliwa kwa kusudi la burudani na pia mafundisho.Ni mambo ambayo hayajawahi kutokea kuhalisia.Ukitafakari kwa kina utagundua sehemu kubwa ya dini nyingi zimejengwa katika msingi huu.
Story gani ujawahi kuiamini kama ni ya kweli na halisi katika kitabu cha dini YAKO?
Wataalam eti wanasema...inawezekana Adam alipata watoto wengine zaidi ya Kaini, abeli na Seth ambao watakuwa wa kike. Means kaini alizaa na dada yake.Kwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Wacha weQuran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
Sasa mbona Eva aliandikwa na yeye ni mwanamke? Wanawake ninachojua huwa hawaandikwi katika genealogy (sina uhakika wa neno la kiswahili) tu.Wataalam eti wanasema...inawezekana Adam alipata watoto wengine zaidi ya Kaini, abeli na Seth ambao watakuwa wa kike. Means kaini alizaa na dada yake.
Zamani wanawake walikuwa hawatambuliki hata kuandikwa kwenye vitabu
Waliandikwa wachache.Sasa mbona Eva aliandikwa na yeye ni mwanamke? Wanawake ninachojua huwa hawaandikwi katika genealogy (sina uhakika wa neno la kiswahili) tu.
jua linazama kwenye matope, haina shaka kabisa.Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
😂😂😂😂😂😂Waliandikwa wachache.
Hata amri za mungu zinawahusu wanaume..kuna ile 'usizini'. Niliwahi ambiwa hapa jf kuwa mwanaume ndo anazini na si mwanamke.
Kuna nyingine inasema usitamani mwanamke/mke wa mwenzio ina maana kutamani mume wa mwenzio ni ruksa
Kwa hiyo Kaini alikuwa anaogopa kuuawa na ndugu zake wa kike hadi akamwambia Mungu amlinde na walimwengu??? Inakuingia akilini kwamba aliogopa kuuliwa na dada zake??? Narudia tena tumepigwa sana kwenye diniWataalam eti wanasema...inawezekana Adam alipata watoto wengine zaidi ya Kaini, abeli na Seth ambao watakuwa wa kike. Means kaini alizaa na dada yake.
Zamani wanawake walikuwa hawatambuliki hata kuandikwa kwenye vitabu
Kupigwa tumepigwa sana na tukihoji tunaambiwa haturuhusiwi kuhoji tuamini kila kitu. Mie yashanishinda...amri ya mungu niliyoielewa ni UPENDO. Mengine ya kwenye biblia yatanisameheKwa hiyo Kaini alikuwa anaogopa kuuawa na ndugu zake wa kike hadi akamwambia Mungu amlinde na walimwengu??? Inakuingia akilini kwamba aliogopa kuuliqa na dada zake??? Narudia tena tumepigwa sana kwenye dini
Mambo shetani mwenzangu..??Kupigwa tumepigwa sana na tukihoji tunaambiwa haturuhusiwi kuhoji tuamini kila kitu. Mie yashanishinda...amri ya mungu niliyoielewa ni UPENDO. Mengine ya kwenye biblia yatanisamehe
Poa tu shetani mwenzangu.Mambo shetani mwenzangu..??
Hivi kabisa ati Israel ndo taifa la Mungu nilitegemea ndo litakuwa na amani ili liwe taifa la mfano hapa duniani lakini dogo tu kama Tanzania lina amani kushinda hata hilo taifa teule la Mungu!!..
Taifa gani la Mungu linanukia damu kiasi hicho..!
Mataifa yetu ya kiafrika yanaamini yanalindwa na Mungu lakini taifa teule la Mungu lina kila Aina ya siraha ya kujilinda!.. ifike hatua tuwe na akili kumkichwa!
Tufungue kanisa tule sadaka wasemaje hapo..?Poa tu shetani mwenzangu.
Kuna rafiki yangu huwa ananiambia pokea baraka za Israel..namwambia staki huo upuuzi.
Yaani watu hata kutumia akili ndogo tu wameshindwa.
Ha haaa , Mimi sio muongeaji kabisaaa so sifai, nitakuwa mhasibu haina shidaTufungue kanisa tule sadaka wasemaje hapo..?
UmekurupukaStory ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .
Du hapo tulipigwa.