Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,445
Aisee
FUNGUA Macho wewe. Au nidm nikuone she madudu kwenye biblia n dini yenu kwa ujumlaBinafsi kwenye kitabu cha dini yangu ya Kikristo, yaani BIBLIA TAKATIFU, sijawahi wala sitarajii kusikia Ngano humo ndani. Yote yaliyomo humo ni kweli tupu. Ni mafundisho ya kweli na ya UHALISIA.
Story ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .
Du hapo tulipigwa.
Iko mambo unavurugwa kwenye page moja alafu nyingine inakurudisha kwenye mstariKwamba Mungu aliumba dunia na kila kilichomo (sawa) kisha akaumba mwanaume na kuumba mwanamke kwa kumtoa ubavu mmoja mwanaume (sawa).
Kisha hao wawili (Adam na Eva/Hawa) wakazaa watoto wawili (Kaini na Abeli) - (sawa).
Kisha Abeli akawa mfugaji na Kaini akawa mkulima (sawa). Lakini Mungu alipendezwa zaidi na sadaka za Abeli kuliko za Kaini (sawa). Kaini akamuua kaka yake kwa wivu (sawa).
Mungu akampa adhabu Kaini kwa kumfukuza bustanini awe anatanga tanga huku na huko duniani (sawa).
Kaini akamwambia Mungu kuwa akitangatanga watu atakaokutana nao watamuua (shida inaanza kuja hapa). Mungu akamwekea alama usoni ili walimwengu wasimuue (shida inaendelea). Kaini akaenda huko nchi ya Nodi mashariki mwa Eden.
Kisha kaini akalala na mkewe akamzaa mtoto aitwae Henoki. (Sio sawa).
Reference: Soma kitabu cha Mwanzo 4:1-17.
Hii story haija balance kabisa hasa hapo mwishoni. Kama Mungu aliumba Adam na Hawa na wakazaa watoto wawili tu ina maana duniani palikuwa na watu wanne tu. Je hao watu aliokuwa akiwaogopa Kaini ni akina nani? Je huyo mwanamke alielala na Kaini na kuzaa nae mtoto alitoka wapi?
Wataalamu hebu naomba mtusaidie hapa.
Sasa ulipigwa na bukuku usimuliaje wake au kisa chenyeweStory ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .
Du hapo tulipigwa.
Naam swadakta.Quran tu ndo kitabu pekee kinachoeleweka na hakina shaka kabisa.
😂😂Story ya Ester, bahati bukuku alitusimulia kupitia wimbo wake wa waraka,
Yaani kuanzia Wimbo unaanza unaweza kwenda sokoni kununua dagaa, unarudi unapika, unamalizia kusonga ugali ndio utasikia wimbo umefikia "ooh Ester aah kwa mahombi huku akisindikizwa na mioyo ya wayaudi" .
Du hapo tulipigwa.
Kwenye katuni ya Tom na Jerry mtu anagongwa na Gari hafi,..sembuse huyo wa samaki😉😉Vitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.
Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.
Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Suratri Bakra au ipi?Qur'an ni kitabu pekee kimeshushwa kwa ajili ya walimwengu wote. Soma Qur'an uone raha yake.
Qur'an yote ni muongozo kwa walimwengu wote.Suratri Bakra au ipi?
Yaan alikata gogo humo humoVitabu vya dini ukitumia logic, HUTOBOI. Maana kuna vingine havimake sense kabisa. Kufika mbinguni kazi sana.
Kuna muda unasoma unaona kabisa hii chai sasa, hasa yule mwamba aliyemezwa na samaki siku 3. Kwamba alikuwa tumboni amekaa tu. Sijui anapumuaje huko tumboni.
Mungu kama unatusikia tusamehe tu baadhi yetu
Sasa mfano kwann ni kiarabu tu hata kwenye swalaHujathibitisha nililo kuuliza.
Nalusaidia kwa swali lako rahisi sana. Naizungumzia Qur'aan.
Mtume alikuwa ni katika Waarabu,na ndiyo maana Qur'aan imetermshwa kwa lugha ya Kiarabu.
Kisha ikawafikia wasio kuwa Waarabu sababu ni ujumbe kwa walimwengu wote.
Mola akajaalia ukijifunza jambo unalijua hata kama si la lugha yako. Watu wakafundishwa lugha ya Kiarabu na wakaelewa. Leo hii ukienda bara la arabu au ukisoma historia ya wajuzi wa kiarabu kiasili si Waarabu.
Sasa usiwe mjinga kukataa jambo usilo kuwa na elimu nalo.
Hakuna aliye zaliwa anajua,hata wewe bila kufindishwa leo hii usingejua kusoma wala kuandika,yaani ungebweteka.
Sasa nataka uthibitishe ya kuwa Qur'aan imeandikwa yaani imetungwa ba Mwanadamu.
KukosoaThibitisha.
Kwahiyo hekaya ina sifa hii ? Amekwambia nani hizi habari ?
Hapa chini nakuwekea aya zinazo mkosoa Mtume wa Allah.
1. Alikunja kipaji na akageuka,
2. Kwa sababu alimjia kipofu!
3. Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
4. Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
5. Ama ajionaye hana haja,
6. Wewe ndio unamshughulikia?
7. . Na si juu yako kama hakutakasika.
8. Ama anaye kujia kwa juhudi
9. Naye anaogopa,
10. Ndio wewe unampuuza?
11. Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.
12. . Basi anaye penda akumbuke. (Abbasa : 1-12)
Sura na aya ipi ya Qur'an uliyasoma hayo?Hii hii ya sigda kuwa tochi jehanamu..au kurwani ipi unaungumzia..bora niamni biblia kuliko hizo falsafa za kukopy za kurwan.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kabila gani? Lugha mama kwako ni ipi? Ukishajiuliza hayo na kupata majibu sasa jiulize hapa JF unawasiliana na watu wa makabila mangapi na kwanini isiwe kwa lugha ya kabila lako?Sasa mfano kwann ni kiarabu tu hata kwenye swala