popie
JF-Expert Member
- May 28, 2016
- 801
- 575
Duhngoja niagize bapa la kutolea hangover
Duhngoja niagize bapa la kutolea hangover
Mbio za sakafuni,barikiwa Bishop HilukaTaxi - (158)
“Hata hivyo, kwa sasa naomba mambo haya yabaki kuwa siri kati yetu watatu, ingawa sina uhakika kama hakuna mwingine zaidi yetu anayejua kuhusu jambo hili. Nilichowaitia hapa ni kutaka twende kwa mheshimiwa Rais tukazungumze naye kuhusu jambo hili,” Solomon Zirro alisema kwa msisitizo.
* * * * *
Saa nane na dakika ishirini na tano mchana, Mr. Oduya alikuwa ameketi katika kiti chake kikubwa cha kiofisi, ofisini kwake katika jengo la makao makuu ya ofisi za The Splendid Group, barabara ya Bagamoyo. Alionekana kuwaza mbali sana na muda wote alikuwa akiitupia jicho saa yake ya mkononi.
Moyo wake ulikuwa ukimdunda kwa nguvu, kwa mara ya tatu sasa tangu alipoanza harakati zake wazo la kutaka kutoroka nchi lilizidi kupata nafasi akilini mwake, safari hii alijikuta akiwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa. Sasa alipanga kuondoka nchini na kwenda Canada, ambako angekaa huko hadi pale ambapo mambo yangeonesha kutulia.
Moyoni mwake, hofu ilikuwa kubwa ikitishia kuutawala moyo wake na sauti fulani ndani yake ilikuwa ikimweleza kuwa mambo yalikuwa yamekwenda mrama. Kwa mara ya kwanza tangu alipomfahamu Silas Polea, Mr. Oduya alijikuta akianza kumlaumu sana kijana huyo kwa kumwingiza katika matatizo makubwa, ambayo hakujua nini ingekuwa hatima yake. Hii ilitokana na kukaidi agizo lake la kuliteketeza lile gari la kizamani aina ya Cadillac DeVille.
Siku zote Silas alikuwa kijana mtiifu kwake na kila kazi aliyotumwa kuifanya aliifanya kwa uaminifu na umakini mkubwa, isipokuwa hii moja tu. Mr. Oduya hakuwa na shaka naye, hasa kwa kukumbuka mambo mengi aliyowahi kumfanyia. Hata hivyo, hofu kubwa ilishaanza kumshika baada ya kuona kuwa hadi muda ule alikuwa hajapokea taarifa zozote kuhusu Tunu. Si Silas, Robert Kamau wala Job aliyekuwa akipatikana kwenye simu! Ni hayo yaliyomtia mashaka ingawa aliamini kuwa siku ile ingeisha kwa furaha kubwa.
Aliichukua tena simu yake ya mkononi na kupiga namba ya Spoiler, bado sauti ilikuwa ileile kwamba namba hiyo ilikuwa haipatikani. Akashusha pumzi. Kabla hajajua afanye nini, mlango wa ofisi yake uligongwa mara moja na kufunguliwa, katibu muhtasi wake akaingia akiwa ameshika bahasha ya khaki yenye ukubwa wa wastani iliyobandikwa karatasi ndogo yenye maandishi ya Express Mail na ilikuwa na nembo ya Posta, akamkabidhi Mr. Oduya.
Mr. Oduya aliipokea kwa mashaka na kuitazama kwa makini. Hakujua kwa nini alikuwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa, labda kwa kuwa hadi muda ule hakuwa amepata taarifa zozote kuhusu watu wake.
“Nani kaileta hii?” Mr. Oduya alimuuliza katibu wake huku akiiangalia ile bahasha kwa makini.
“Imeletwa na kaka mmoja wa Posta.”
“Vyema,” Mr. Oduya alisema na kumruhusu katibu wake aondoke kurudi ofisini kwake, akaanza kuifungua harakaharaka na kutoa nakala moja ya CD iliyoambatanishwa na barua ambayo iliyavuta macho yake kwa hofu kubwa. Mr. Oduya aliyapitisha macho yake harakaharaka kuisoma ile barua. Ilikuwa imeandikwa hivi:
Mr. Oduya, sidhani kama bado una ndoto ya kuendelea na harakati zako chafu zenye kuleta maafa kwa watu wasio na hatia ili kuupata Urais wa nchi hii tukufu. Kama bado una ndoto hiyo nakushauri uachane nayo na ujitokeze kuomba radhi hadharani kisha ujikabidhi mwenyewe polisi kabla ya saa kumi jioni. Usipofanya hivyo hadi muda huo nitakusaidia kufanya hivyo ili kukuonesha kuwa sina mzaha. Si kwamba nakutisha, pengine itapendeza kama utaitazama kwanza video fupi ndani ya CD hiyo niliyokutumia na usikilize sauti zilizomo ili kubaini ni kwa kiasi gani ninaufahamu mtandao wako wote wa uhalifu, orodha yenu, picha zenu, maongezi yenu ya simu na harakati zenu chafu. Usijiulize nimewezaje kupata video hii na sauti zenu, kwani unaelewa fika uwezo wangu katika mambo ya kishushushu.
Tunu Michael.
Mr. Oduya aliirudia kuisoma barua ile mara tatu lakini bado asiyaamini yale aliyokuwa akiyasoma, alidhani labda huo ulikuwa mtego wa Tunu ili kumkamatisha. Hata hivyo, alihisi mwili wake wote ukitetemeka. Bila kusubiri aliichukua ile CD iliyoambatanishwa na ile barua na kuitumbukiza kwenye kompyuta yake.
Aliyoyashuhudia na kuyasikia yaliyafanya mapigo ya moyo wake yaende mbio isivyo kawaida na kijasho chembamba kikaanza kumtoka, hakuwa na uwezo wa kuendelea kukanusha kuwa Tunu aliyafahamu mengi kuhusu harakati zake chafu na asingesita kuchukua hatua kama alivyoahidi kwenye barua yake.
Akiwa bado amechanganyikiwa, moyo wake ukampasuka mara tu simu yake ya mkononi ilipoanza kuita kwa fujo, aliinyanyua na kuitazama kwa makini, ilikuwa namba ya Dk. Masanja. Mr. Oduya aliipokea haraka na kuipeleka sikioni.
“Hallo!” Mr. Oduya aliongea kwa sauti ya kutetemeka mara baada ya kuiweka kwenye sikio lake kiasi kwamba alianza kujishangaa.
“Vipi umesikia?” sauti ya wasiwasi ya Dk. Masanja ilisikika toka upande wa pili wa simu.
“Kusikia nini!” Mr. Oduya aliuliza kwa mshangao.
“Kilichompata rafiki yako, Kamishna Omalla. Amejipiga risasi ya kichwa ofisini kwake muda mfupi uliopita,” Dk. Masanja alisema kwa huzuni.
“What! Ameji...” Mr. Oduya alitaka kusema lakini akahisi maneno yakikwama kooni. Donge lenye mchanganyiko wa hasira na huzuni lilimkaba kooni na kumfanya ahisi koo lake likikauka ghafla huku nywele zikimsimama kichwani kwa hofu. “Hali yake inaendeleaje?” aliuliza huku akihisi moyo wake ukisitisha kazi yake kwa muda.
“Amekufa! Risasi imefumua kabisa kichwa chake...” Dk. Masanja alisema.
Mr. Oduya alihisi kama mwili wake ulikuwa ukicharangwa kwa visu vikali na kubanikwa katika moto mkubwa. Alihisi moto mkali sana ukitambaa kwenye mwili wake na ngozi yake ilikuwa inaungua na kumfanya kuhisi maumivu makali mno. Muda huohuo alihisi hasira kali zikiibuka ndani yake, chumba cha ofisi yake kilionekana kama kilichoshuka nyuzi kumi hivi na kuwa kifupi mno.
Mara simu yake ya mezani ikaanza kuita na kumzindua toka kwenye yale mawazo. Ndipo alipogundua kuwa ile simu ya mkononi ilikuwa bado ipo sikioni ingawa hakuwa akisikia tena kilichoongewa upande wa pili wa simu ile. Hakuweza kukumbuka ilichukua muda gani akiwa ameiweka ile simu sikioni huku mawazo yake yakiwa yamehama toka kwenye maongezi yake na Dk. Masanja hadi muda ule wakati simu ya mezani ilikuwa ikiita.
Hofu ilikuwa imemmeza kabisa, aliitazama ile simu ya mezani kwa wasiwasi huku akianza kuhisi jambo la hatari. Hata hivyo, hakutaka kuendelea kusubiri ile simu iendelee kuita zaidi kwani ilikuwa mbioni kukata baada ya kuita kwa muda mrefu. Hivyo akanyoosha mkono wake kivivuvivu ili kuipokea lakini kabla mkono haujaifikia ile simu ikakatika. Tukio lile likaiongeza hofu yake yake na hivyo akabaki akiikodolea macho ile simu kana kwamba lilikuwa ni bomu la kutegeshwa lililokuwa mbioni kulipuka.
Alianza kujiuliza, mpigaji wa simu ile angekuwa nani na angekuwa na shida gani muda ule, au ni yaleyale ya kupewa taarifa mbaya kuhusu Kamishna Omalla? Wakati akijiuliza mara ile simu ya mezani ikaanza kuita tena. Hakutaka iendelee kuita zaidi hivyo haraka akakinyakuwa kiwambo chake na kukiweka sikioni huku akiipa akili yake utulivu wa hali ya juu.
Mambo bado ni kwelikweli. Ili kujua mwisho wake, usichoke kufuatilia hadi mwisho...
NB: Litro
We jamaa ni nomaaaTaxi - (158)
“Hata hivyo, kwa sasa naomba mambo haya yabaki kuwa siri kati yetu watatu, ingawa sina uhakika kama hakuna mwingine zaidi yetu anayejua kuhusu jambo hili. Nilichowaitia hapa ni kutaka twende kwa mheshimiwa Rais tukazungumze naye kuhusu jambo hili,” Solomon Zirro alisema kwa msisitizo.
* * * * *
Saa nane na dakika ishirini na tano mchana, Mr. Oduya alikuwa ameketi katika kiti chake kikubwa cha kiofisi, ofisini kwake katika jengo la makao makuu ya ofisi za The Splendid Group, barabara ya Bagamoyo. Alionekana kuwaza mbali sana na muda wote alikuwa akiitupia jicho saa yake ya mkononi.
Moyo wake ulikuwa ukimdunda kwa nguvu, kwa mara ya tatu sasa tangu alipoanza harakati zake wazo la kutaka kutoroka nchi lilizidi kupata nafasi akilini mwake, safari hii alijikuta akiwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa. Sasa alipanga kuondoka nchini na kwenda Canada, ambako angekaa huko hadi pale ambapo mambo yangeonesha kutulia.
Moyoni mwake, hofu ilikuwa kubwa ikitishia kuutawala moyo wake na sauti fulani ndani yake ilikuwa ikimweleza kuwa mambo yalikuwa yamekwenda mrama. Kwa mara ya kwanza tangu alipomfahamu Silas Polea, Mr. Oduya alijikuta akianza kumlaumu sana kijana huyo kwa kumwingiza katika matatizo makubwa, ambayo hakujua nini ingekuwa hatima yake. Hii ilitokana na kukaidi agizo lake la kuliteketeza lile gari la kizamani aina ya Cadillac DeVille.
Siku zote Silas alikuwa kijana mtiifu kwake na kila kazi aliyotumwa kuifanya aliifanya kwa uaminifu na umakini mkubwa, isipokuwa hii moja tu. Mr. Oduya hakuwa na shaka naye, hasa kwa kukumbuka mambo mengi aliyowahi kumfanyia. Hata hivyo, hofu kubwa ilishaanza kumshika baada ya kuona kuwa hadi muda ule alikuwa hajapokea taarifa zozote kuhusu Tunu. Si Silas, Robert Kamau wala Job aliyekuwa akipatikana kwenye simu! Ni hayo yaliyomtia mashaka ingawa aliamini kuwa siku ile ingeisha kwa furaha kubwa.
Aliichukua tena simu yake ya mkononi na kupiga namba ya Spoiler, bado sauti ilikuwa ileile kwamba namba hiyo ilikuwa haipatikani. Akashusha pumzi. Kabla hajajua afanye nini, mlango wa ofisi yake uligongwa mara moja na kufunguliwa, katibu muhtasi wake akaingia akiwa ameshika bahasha ya khaki yenye ukubwa wa wastani iliyobandikwa karatasi ndogo yenye maandishi ya Express Mail na ilikuwa na nembo ya Posta, akamkabidhi Mr. Oduya.
Mr. Oduya aliipokea kwa mashaka na kuitazama kwa makini. Hakujua kwa nini alikuwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa, labda kwa kuwa hadi muda ule hakuwa amepata taarifa zozote kuhusu watu wake.
“Nani kaileta hii?” Mr. Oduya alimuuliza katibu wake huku akiiangalia ile bahasha kwa makini.
“Imeletwa na kaka mmoja wa Posta.”
“Vyema,” Mr. Oduya alisema na kumruhusu katibu wake aondoke kurudi ofisini kwake, akaanza kuifungua harakaharaka na kutoa nakala moja ya CD iliyoambatanishwa na barua ambayo iliyavuta macho yake kwa hofu kubwa. Mr. Oduya aliyapitisha macho yake harakaharaka kuisoma ile barua. Ilikuwa imeandikwa hivi:
Mr. Oduya, sidhani kama bado una ndoto ya kuendelea na harakati zako chafu zenye kuleta maafa kwa watu wasio na hatia ili kuupata Urais wa nchi hii tukufu. Kama bado una ndoto hiyo nakushauri uachane nayo na ujitokeze kuomba radhi hadharani kisha ujikabidhi mwenyewe polisi kabla ya saa kumi jioni. Usipofanya hivyo hadi muda huo nitakusaidia kufanya hivyo ili kukuonesha kuwa sina mzaha. Si kwamba nakutisha, pengine itapendeza kama utaitazama kwanza video fupi ndani ya CD hiyo niliyokutumia na usikilize sauti zilizomo ili kubaini ni kwa kiasi gani ninaufahamu mtandao wako wote wa uhalifu, orodha yenu, picha zenu, maongezi yenu ya simu na harakati zenu chafu. Usijiulize nimewezaje kupata video hii na sauti zenu, kwani unaelewa fika uwezo wangu katika mambo ya kishushushu.
Tunu Michael.
Mr. Oduya aliirudia kuisoma barua ile mara tatu lakini bado asiyaamini yale aliyokuwa akiyasoma, alidhani labda huo ulikuwa mtego wa Tunu ili kumkamatisha. Hata hivyo, alihisi mwili wake wote ukitetemeka. Bila kusubiri aliichukua ile CD iliyoambatanishwa na ile barua na kuitumbukiza kwenye kompyuta yake.
Aliyoyashuhudia na kuyasikia yaliyafanya mapigo ya moyo wake yaende mbio isivyo kawaida na kijasho chembamba kikaanza kumtoka, hakuwa na uwezo wa kuendelea kukanusha kuwa Tunu aliyafahamu mengi kuhusu harakati zake chafu na asingesita kuchukua hatua kama alivyoahidi kwenye barua yake.
Akiwa bado amechanganyikiwa, moyo wake ukampasuka mara tu simu yake ya mkononi ilipoanza kuita kwa fujo, aliinyanyua na kuitazama kwa makini, ilikuwa namba ya Dk. Masanja. Mr. Oduya aliipokea haraka na kuipeleka sikioni.
“Hallo!” Mr. Oduya aliongea kwa sauti ya kutetemeka mara baada ya kuiweka kwenye sikio lake kiasi kwamba alianza kujishangaa.
“Vipi umesikia?” sauti ya wasiwasi ya Dk. Masanja ilisikika toka upande wa pili wa simu.
“Kusikia nini!” Mr. Oduya aliuliza kwa mshangao.
“Kilichompata rafiki yako, Kamishna Omalla. Amejipiga risasi ya kichwa ofisini kwake muda mfupi uliopita,” Dk. Masanja alisema kwa huzuni.
“What! Ameji...” Mr. Oduya alitaka kusema lakini akahisi maneno yakikwama kooni. Donge lenye mchanganyiko wa hasira na huzuni lilimkaba kooni na kumfanya ahisi koo lake likikauka ghafla huku nywele zikimsimama kichwani kwa hofu. “Hali yake inaendeleaje?” aliuliza huku akihisi moyo wake ukisitisha kazi yake kwa muda.
“Amekufa! Risasi imefumua kabisa kichwa chake...” Dk. Masanja alisema.
Mr. Oduya alihisi kama mwili wake ulikuwa ukicharangwa kwa visu vikali na kubanikwa katika moto mkubwa. Alihisi moto mkali sana ukitambaa kwenye mwili wake na ngozi yake ilikuwa inaungua na kumfanya kuhisi maumivu makali mno. Muda huohuo alihisi hasira kali zikiibuka ndani yake, chumba cha ofisi yake kilionekana kama kilichoshuka nyuzi kumi hivi na kuwa kifupi mno.
Mara simu yake ya mezani ikaanza kuita na kumzindua toka kwenye yale mawazo. Ndipo alipogundua kuwa ile simu ya mkononi ilikuwa bado ipo sikioni ingawa hakuwa akisikia tena kilichoongewa upande wa pili wa simu ile. Hakuweza kukumbuka ilichukua muda gani akiwa ameiweka ile simu sikioni huku mawazo yake yakiwa yamehama toka kwenye maongezi yake na Dk. Masanja hadi muda ule wakati simu ya mezani ilikuwa ikiita.
Hofu ilikuwa imemmeza kabisa, aliitazama ile simu ya mezani kwa wasiwasi huku akianza kuhisi jambo la hatari. Hata hivyo, hakutaka kuendelea kusubiri ile simu iendelee kuita zaidi kwani ilikuwa mbioni kukata baada ya kuita kwa muda mrefu. Hivyo akanyoosha mkono wake kivivuvivu ili kuipokea lakini kabla mkono haujaifikia ile simu ikakatika. Tukio lile likaiongeza hofu yake yake na hivyo akabaki akiikodolea macho ile simu kana kwamba lilikuwa ni bomu la kutegeshwa lililokuwa mbioni kulipuka.
Alianza kujiuliza, mpigaji wa simu ile angekuwa nani na angekuwa na shida gani muda ule, au ni yaleyale ya kupewa taarifa mbaya kuhusu Kamishna Omalla? Wakati akijiuliza mara ile simu ya mezani ikaanza kuita tena. Hakutaka iendelee kuita zaidi hivyo haraka akakinyakuwa kiwambo chake na kukiweka sikioni huku akiipa akili yake utulivu wa hali ya juu.
Mambo bado ni 🔥🔥🔥 kwelikweli. Ili kujua mwisho wake, usichoke kufuatilia hadi mwisho...
NB: Litro 👩
Ahsante mkuuTaxi - (158)
“Hata hivyo, kwa sasa naomba mambo haya yabaki kuwa siri kati yetu watatu, ingawa sina uhakika kama hakuna mwingine zaidi yetu anayejua kuhusu jambo hili. Nilichowaitia hapa ni kutaka twende kwa mheshimiwa Rais tukazungumze naye kuhusu jambo hili,” Solomon Zirro alisema kwa msisitizo.
* * * * *
Saa nane na dakika ishirini na tano mchana, Mr. Oduya alikuwa ameketi katika kiti chake kikubwa cha kiofisi, ofisini kwake katika jengo la makao makuu ya ofisi za The Splendid Group, barabara ya Bagamoyo. Alionekana kuwaza mbali sana na muda wote alikuwa akiitupia jicho saa yake ya mkononi.
Moyo wake ulikuwa ukimdunda kwa nguvu, kwa mara ya tatu sasa tangu alipoanza harakati zake wazo la kutaka kutoroka nchi lilizidi kupata nafasi akilini mwake, safari hii alijikuta akiwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa. Sasa alipanga kuondoka nchini na kwenda Canada, ambako angekaa huko hadi pale ambapo mambo yangeonesha kutulia.
Moyoni mwake, hofu ilikuwa kubwa ikitishia kuutawala moyo wake na sauti fulani ndani yake ilikuwa ikimweleza kuwa mambo yalikuwa yamekwenda mrama. Kwa mara ya kwanza tangu alipomfahamu Silas Polea, Mr. Oduya alijikuta akianza kumlaumu sana kijana huyo kwa kumwingiza katika matatizo makubwa, ambayo hakujua nini ingekuwa hatima yake. Hii ilitokana na kukaidi agizo lake la kuliteketeza lile gari la kizamani aina ya Cadillac DeVille.
Siku zote Silas alikuwa kijana mtiifu kwake na kila kazi aliyotumwa kuifanya aliifanya kwa uaminifu na umakini mkubwa, isipokuwa hii moja tu. Mr. Oduya hakuwa na shaka naye, hasa kwa kukumbuka mambo mengi aliyowahi kumfanyia. Hata hivyo, hofu kubwa ilishaanza kumshika baada ya kuona kuwa hadi muda ule alikuwa hajapokea taarifa zozote kuhusu Tunu. Si Silas, Robert Kamau wala Job aliyekuwa akipatikana kwenye simu! Ni hayo yaliyomtia mashaka ingawa aliamini kuwa siku ile ingeisha kwa furaha kubwa.
Aliichukua tena simu yake ya mkononi na kupiga namba ya Spoiler, bado sauti ilikuwa ileile kwamba namba hiyo ilikuwa haipatikani. Akashusha pumzi. Kabla hajajua afanye nini, mlango wa ofisi yake uligongwa mara moja na kufunguliwa, katibu muhtasi wake akaingia akiwa ameshika bahasha ya khaki yenye ukubwa wa wastani iliyobandikwa karatasi ndogo yenye maandishi ya Express Mail na ilikuwa na nembo ya Posta, akamkabidhi Mr. Oduya.
Mr. Oduya aliipokea kwa mashaka na kuitazama kwa makini. Hakujua kwa nini alikuwa katika hali ya wasiwasi na mashaka makubwa, labda kwa kuwa hadi muda ule hakuwa amepata taarifa zozote kuhusu watu wake.
“Nani kaileta hii?” Mr. Oduya alimuuliza katibu wake huku akiiangalia ile bahasha kwa makini.
“Imeletwa na kaka mmoja wa Posta.”
“Vyema,” Mr. Oduya alisema na kumruhusu katibu wake aondoke kurudi ofisini kwake, akaanza kuifungua harakaharaka na kutoa nakala moja ya CD iliyoambatanishwa na barua ambayo iliyavuta macho yake kwa hofu kubwa. Mr. Oduya aliyapitisha macho yake harakaharaka kuisoma ile barua. Ilikuwa imeandikwa hivi:
Mr. Oduya, sidhani kama bado una ndoto ya kuendelea na harakati zako chafu zenye kuleta maafa kwa watu wasio na hatia ili kuupata Urais wa nchi hii tukufu. Kama bado una ndoto hiyo nakushauri uachane nayo na ujitokeze kuomba radhi hadharani kisha ujikabidhi mwenyewe polisi kabla ya saa kumi jioni. Usipofanya hivyo hadi muda huo nitakusaidia kufanya hivyo ili kukuonesha kuwa sina mzaha. Si kwamba nakutisha, pengine itapendeza kama utaitazama kwanza video fupi ndani ya CD hiyo niliyokutumia na usikilize sauti zilizomo ili kubaini ni kwa kiasi gani ninaufahamu mtandao wako wote wa uhalifu, orodha yenu, picha zenu, maongezi yenu ya simu na harakati zenu chafu. Usijiulize nimewezaje kupata video hii na sauti zenu, kwani unaelewa fika uwezo wangu katika mambo ya kishushushu.
Tunu Michael.
Mr. Oduya aliirudia kuisoma barua ile mara tatu lakini bado asiyaamini yale aliyokuwa akiyasoma, alidhani labda huo ulikuwa mtego wa Tunu ili kumkamatisha. Hata hivyo, alihisi mwili wake wote ukitetemeka. Bila kusubiri aliichukua ile CD iliyoambatanishwa na ile barua na kuitumbukiza kwenye kompyuta yake.
Aliyoyashuhudia na kuyasikia yaliyafanya mapigo ya moyo wake yaende mbio isivyo kawaida na kijasho chembamba kikaanza kumtoka, hakuwa na uwezo wa kuendelea kukanusha kuwa Tunu aliyafahamu mengi kuhusu harakati zake chafu na asingesita kuchukua hatua kama alivyoahidi kwenye barua yake.
Akiwa bado amechanganyikiwa, moyo wake ukampasuka mara tu simu yake ya mkononi ilipoanza kuita kwa fujo, aliinyanyua na kuitazama kwa makini, ilikuwa namba ya Dk. Masanja. Mr. Oduya aliipokea haraka na kuipeleka sikioni.
“Hallo!” Mr. Oduya aliongea kwa sauti ya kutetemeka mara baada ya kuiweka kwenye sikio lake kiasi kwamba alianza kujishangaa.
“Vipi umesikia?” sauti ya wasiwasi ya Dk. Masanja ilisikika toka upande wa pili wa simu.
“Kusikia nini!” Mr. Oduya aliuliza kwa mshangao.
“Kilichompata rafiki yako, Kamishna Omalla. Amejipiga risasi ya kichwa ofisini kwake muda mfupi uliopita,” Dk. Masanja alisema kwa huzuni.
“What! Ameji...” Mr. Oduya alitaka kusema lakini akahisi maneno yakikwama kooni. Donge lenye mchanganyiko wa hasira na huzuni lilimkaba kooni na kumfanya ahisi koo lake likikauka ghafla huku nywele zikimsimama kichwani kwa hofu. “Hali yake inaendeleaje?” aliuliza huku akihisi moyo wake ukisitisha kazi yake kwa muda.
“Amekufa! Risasi imefumua kabisa kichwa chake...” Dk. Masanja alisema.
Mr. Oduya alihisi kama mwili wake ulikuwa ukicharangwa kwa visu vikali na kubanikwa katika moto mkubwa. Alihisi moto mkali sana ukitambaa kwenye mwili wake na ngozi yake ilikuwa inaungua na kumfanya kuhisi maumivu makali mno. Muda huohuo alihisi hasira kali zikiibuka ndani yake, chumba cha ofisi yake kilionekana kama kilichoshuka nyuzi kumi hivi na kuwa kifupi mno.
Mara simu yake ya mezani ikaanza kuita na kumzindua toka kwenye yale mawazo. Ndipo alipogundua kuwa ile simu ya mkononi ilikuwa bado ipo sikioni ingawa hakuwa akisikia tena kilichoongewa upande wa pili wa simu ile. Hakuweza kukumbuka ilichukua muda gani akiwa ameiweka ile simu sikioni huku mawazo yake yakiwa yamehama toka kwenye maongezi yake na Dk. Masanja hadi muda ule wakati simu ya mezani ilikuwa ikiita.
Hofu ilikuwa imemmeza kabisa, aliitazama ile simu ya mezani kwa wasiwasi huku akianza kuhisi jambo la hatari. Hata hivyo, hakutaka kuendelea kusubiri ile simu iendelee kuita zaidi kwani ilikuwa mbioni kukata baada ya kuita kwa muda mrefu. Hivyo akanyoosha mkono wake kivivuvivu ili kuipokea lakini kabla mkono haujaifikia ile simu ikakatika. Tukio lile likaiongeza hofu yake yake na hivyo akabaki akiikodolea macho ile simu kana kwamba lilikuwa ni bomu la kutegeshwa lililokuwa mbioni kulipuka.
Alianza kujiuliza, mpigaji wa simu ile angekuwa nani na angekuwa na shida gani muda ule, au ni yaleyale ya kupewa taarifa mbaya kuhusu Kamishna Omalla? Wakati akijiuliza mara ile simu ya mezani ikaanza kuita tena. Hakutaka iendelee kuita zaidi hivyo haraka akakinyakuwa kiwambo chake na kukiweka sikioni huku akiipa akili yake utulivu wa hali ya juu.
Mambo bado ni 🔥🔥🔥 kwelikweli. Ili kujua mwisho wake, usichoke kufuatilia hadi mwisho...
NB: Litro 👩