Swali jamani kwa walio na ujuzi wa costs za Storage ya makontena kwenye hizi private storage facilities
Mpaka sasa Serikali itakuwa imelipa kiaso gani kwa kuhold hayo makontena ya Acacia?? Maana mengine yapo huko....
Tushachoka na story zao za makinikia hebu serikali ijikite kuwaokoa wakulima wa mbaazi .....hali si shwari wakulima wa mbaazi wanapiga nazo picha tu mbaazi zaoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.