STOP BARRICK GOLD CAMPAIGN - Wabunge Simameni!

Mpaka Kieleweke

JF-Expert Member
Feb 27, 2007
4,132
1,571
KUTOKANA HALI HALISI YA SEKTA YA MADINI HAPA NCHINI ,PAMOJA NA KUWEPO KWA RIPOTI YA BOMANI AMBAYO BUNGE LINATARAIJIWA KUIJADILI KATIKA KIPINDI HIKI CHA BAJETI.

kUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA BALOZI WA CANADA PAMOJA NA UJUMBE MZITO WAPO BUNGENI DODOMA TANGU WIKI ILIYOPITA NAKIKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI NA KUFANYA LOBBYING HUKU HOJA ZAKE KUU ZIKIWA NI KUWASHAWISHI WABUNGE WASIPITISHE MAPENDEKEZO YA KAMATI YA BOMANI KAMA YALIVYO KWANI YATAWAFANYA WAWEKEZAJI KUKIMBIA NCHI.

BALOZI HUYO PAMOJA NA UJUMBE WAKE WAMEKUWA WAKIWASHAWISHI WABUNGE KUWA MAPENDEKEZO HAYO YAPELEKWE KWA WATAALAMU WA BENKI YA DUNIA KWANZA KABLA YA KUPITISHWA NA BUNGE.

KWA KUWA HUU NI MKAKATI WA KUWASAIDIA WATU NA MAKAMPUNI YA BARRICK NAWASHAURI WANA JF KUHAKIKISHA KUWA TUNAWATAKA WABUNGE WETU WASIKUBALIANE NA USHAWISHI HUO NA KILA MMOJA WETU AHAKIKISHE KUWA ANAWASILIANA NA MBUNGE WAKE ILI KUUKWAMISHA MPANGO HUU AMBAO NI WA KUENDELEA KUCHUKLUA RASILIMALI ZA NCHI YETU.

NITAWALETEA TAARIFA ZA KINA ZAIDI KUWA KESHO ATAKUTANA NA WABUNGE GANI KWANI AMEKUWA AKIWAITA WACHACHE WACHACHE KUANZIA WA UPINZANI NA HATA WALE WA CCM.

THIS IS A CRY FOR HELP.... HELP TANZANIA AND OUR RESOURCES.....
 
Last edited by a moderator:
Leo amekutana na wabunge wengi sana na amekuwa na vikao nao vingi sana sasa kama balozi mwenyewe ndio anaendesha kampeni hizi kuna haja ya sisi watanzania kuhakikisha kuwa tunakuwa mstari wa mbele kulinda rasilimali zetu.

Tupaze sauti zetu .
 
KUTOKANA HALI HALISI YA SEKTA YA MADINI HAPA NCHINI ,PAMOJA NA KUWEPO KWA RIPOTI YA BOMANI AMBAYO BUNGE LINATARAIJIWA KUIJADILI KATIKA KIPINDI HIKI CHA BAJETI.

kUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA BALOZI WA CANADA PAMOJA NA UJUMBE MZITO WAPO BUNGENI DODOMA TANGU WIKI ILIYOPITA NAKIKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI NA KUFANYA LOBBYING HUKU HOJA ZAKE KUU ZIKIWA NI KUWASHAWISHI WABUNGE WASIPITISHE MAPENDEKEZO YA KAMATI YA BOMANI KAMA YALIVYO KWANI YATAWAFANYA WAWEKEZAJI KUKIMBIA NCHI.

BALOZI HUYO PAMOJA NA UJUMBE WAKE WAMEKUWA WAKIWASHAWISHI WABUNGE KUWA MAPENDEKEZO HAYO YAPELEKWE KWA WATAALAMU WA BENKI YA DUNIA KWANZA KABLA YA KUPITISHWA NA BUNGE.

KWA KUWA HUU NI MKAKATI WA KUWASAIDIA WATU NA MAKAMPUNI YA BARRICK NAWASHAURI WANA JF KUHAKIKISHA KUWA TUNAWATAKA WABUNGE WETU WASIKUBALIANE NA USHAWISHI HUO NA KILA MMOJA WETU AHAKIKISHE KUWA ANAWASILIANA NA MBUNGE WAKE ILI KUUKWAMISHA MPANGO HUU AMBAO NI WA KUENDELEA KUCHUKLUA RASILIMALI ZA NCHI YETU.

NITAWALETEA TAARIFA ZA KINA ZAIDI KUWA KESHO ATAKUTANA NA WABUNGE GANI KWANI AMEKUWA AKIWAITA WACHACHE WACHACHE KUANZIA WA UPINZANI NA HATA WALE WA CCM.

THIS IS A CRY FOR HELP.... HELP TANZANIA AND OUR RESOURCES.....

Mmeyaona sasa?
Haya Pambaneni na wananchi WAANDAMANE!
NO MORE SPECIAL INTERESTS LOBBYING..WE NEED THE PEOPLE'S LOBBYING!
 
KUTOKANA HALI HALISI YA SEKTA YA MADINI HAPA NCHINI ,PAMOJA NA KUWEPO KWA RIPOTI YA BOMANI AMBAYO BUNGE LINATARAIJIWA KUIJADILI KATIKA KIPINDI HIKI CHA BAJETI.

kUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA BALOZI WA CANADA PAMOJA NA UJUMBE MZITO WAPO BUNGENI DODOMA TANGU WIKI ILIYOPITA NAKIKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI NA KUFANYA LOBBYING HUKU HOJA ZAKE KUU ZIKIWA NI KUWASHAWISHI WABUNGE WASIPITISHE MAPENDEKEZO YA KAMATI YA BOMANI KAMA YALIVYO KWANI YATAWAFANYA WAWEKEZAJI KUKIMBIA NCHI.

BALOZI HUYO PAMOJA NA UJUMBE WAKE WAMEKUWA WAKIWASHAWISHI WABUNGE KUWA MAPENDEKEZO HAYO YAPELEKWE KWA WATAALAMU WA BENKI YA DUNIA KWANZA KABLA YA KUPITISHWA NA BUNGE.

KWA KUWA HUU NI MKAKATI WA KUWASAIDIA WATU NA MAKAMPUNI YA BARRICK NAWASHAURI WANA JF KUHAKIKISHA KUWA TUNAWATAKA WABUNGE WETU WASIKUBALIANE NA USHAWISHI HUO NA KILA MMOJA WETU AHAKIKISHE KUWA ANAWASILIANA NA MBUNGE WAKE ILI KUUKWAMISHA MPANGO HUU AMBAO NI WA KUENDELEA KUCHUKLUA RASILIMALI ZA NCHI YETU.

NITAWALETEA TAARIFA ZA KINA ZAIDI KUWA KESHO ATAKUTANA NA WABUNGE GANI KWANI AMEKUWA AKIWAITA WACHACHE WACHACHE KUANZIA WA UPINZANI NA HATA WALE WA CCM.

THIS IS A CRY FOR HELP.... HELP TANZANIA AND OUR RESOURCES.....

Piga simu kwa Tundu Lissu na shirika lao la LEAT, Piga simu kwa Shivji na shirika la la Haki Ardhi, Piga simu kwa Kamati ya Viongozi wa Dini na Wanaharakati kuhusu Madini wale waliotoa ripoti ya The Golden Opportunity, wape nakala ya ripoti ya Bomani. Waambie nao waweke kambi Dodoma. Ni mapambano kati ya kina Mangungo wa Msovero na umma wa watanzania. Lazima wakina Karl Peters wakimbie. Fanya hima kabla jua halijatua. Huu ni wakati wa Maji Maji

Asha
 
Mpaka kieleweke,

Kwanini tusikubali yaishe tu??unadhani tutabadilisha chochote..?Kama waliweza kumnyamazisha mama Kilango kwa mkwara Mzito wewe unazani hili tutaweza.

Mie naona tuwazirie nchi,Ndiyo sie wajinga..waache waendelee
 
KUTOKANA HALI HALISI YA SEKTA YA MADINI HAPA NCHINI ,PAMOJA NA KUWEPO KWA RIPOTI YA BOMANI AMBAYO BUNGE LINATARAIJIWA KUIJADILI KATIKA KIPINDI HIKI CHA BAJETI.

kUNA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA BALOZI WA CANADA PAMOJA NA UJUMBE MZITO WAPO BUNGENI DODOMA TANGU WIKI ILIYOPITA NAKIKUTANA NA WABUNGE MBALIMBALI NA KUFANYA LOBBYING HUKU HOJA ZAKE KUU ZIKIWA NI KUWASHAWISHI WABUNGE WASIPITISHE MAPENDEKEZO YA KAMATI YA BOMANI KAMA YALIVYO KWANI YATAWAFANYA WAWEKEZAJI KUKIMBIA NCHI.

BALOZI HUYO PAMOJA NA UJUMBE WAKE WAMEKUWA WAKIWASHAWISHI WABUNGE KUWA MAPENDEKEZO HAYO YAPELEKWE KWA WATAALAMU WA BENKI YA DUNIA KWANZA KABLA YA KUPITISHWA NA BUNGE.

KWA KUWA HUU NI MKAKATI WA KUWASAIDIA WATU NA MAKAMPUNI YA BARRICK NAWASHAURI WANA JF KUHAKIKISHA KUWA TUNAWATAKA WABUNGE WETU WASIKUBALIANE NA USHAWISHI HUO NA KILA MMOJA WETU AHAKIKISHE KUWA ANAWASILIANA NA MBUNGE WAKE ILI KUUKWAMISHA MPANGO HUU AMBAO NI WA KUENDELEA KUCHUKLUA RASILIMALI ZA NCHI YETU.

NITAWALETEA TAARIFA ZA KINA ZAIDI KUWA KESHO ATAKUTANA NA WABUNGE GANI KWANI AMEKUWA AKIWAITA WACHACHE WACHACHE KUANZIA WA UPINZANI NA HATA WALE WA CCM.

THIS IS A CRY FOR HELP.... HELP TANZANIA AND OUR RESOURCES.....
Mkulu nimekupata vyema, niliwaona bungeni na naibu spika akasema wataongea na spika, kumbe ni mambo za barrick, siclair, na wengineo sio? Sasa nimepata akili. Ni jambo nyeti sana mkulu hilo, nadhani hii inatakiwa iwe rai special na lifanyike linalowezekana wakati wewe ukiendelea kutushushia nyeti mkuu
 
Kwa nini Benki ya Dunia iingelie na kuhalalisha ripoti ambayo inaonyesha wazi kuwa Tanzania inanyonywa? Bei ya aunsi moja ya dhahabu ni Dola za Kimarekani $1000.00 Serikali ya Tanzania inapata $30.00 ambayo ni asilimia 3% na makampuni haya yanapewa misamaha ya kodi na ushuru!

Screw World Bank, @#$% IMF, and all Sinclair cronies can go to hell!
 
Nashauri kuwa wote wawasiliane na wabunge wao popote pale walipo kuhakikisha kuwa wanakuwa na msimamo na kuwakatalia hawa jamaa .

Ntajitahidi kuweka namba za simu za wabunge wote na majimbo yao ili kesho tuanzie huku JF kuhakikisha kuwa tunakwamisha mpango huu wa kuendelea kumaliza madini yetu.

Nitawapa yaliyojiri zaidi na hata usiku huu atakutana na wabunge hotelini kwake kwa ajili ya kuendeleza mkakati huo ambao umefanyika sasa kwa wiki nzima huko Dodoma .
 
Hao World Bank ndio hao hao waliokuwa wakimpa misifa Mkapa eti ya uchumi kukuwa.
Wakae pembeni kwanza tuchukuwe nchi yetu halafu ndiyo waje tunegotiate.
Lakini nchi ipewe wananchi kwanza kwa kuzingatia mapendekezo pamoja na mengineyo...Yale ya kamati ya madini.
 
Kwa nini Benki ya Dunia iingelie na kuhalalisha ripoti ambayo inaonyesha wazi kuwa Tanzania inanyonywa? Bei ya aunsi moja ya dhahabu ni Dola za Kimarekani $1000.00 Serikali ya Tanzania inapata $30.00 ambayo ni asilimia 3% na makampuni haya yanapewa misamaha ya kodi na ushuru!

Screw World Bank, @#$% IMF, and all Sinclair cronies can go to hell!

Mkuu kumbuka kuwa sera ya madini ilitengenezwa na wataalamu wa Benki ya dunia hivyo wanajua wakifanikiwa kuipeleka huko basi wataweza kuwainfluence kama walivyofanya hapo awali.
 
Huna haja ya kumpigia simu Tundu Lisu wala Shivji wala shirika lolote.Lobbying maana yake ni ushawishi and not anything illegal.Cha msingi ni kwa wabunge kuelewa kuwa huyo balozi anatetea maslahi ya waliomtuma hivyo basi na wao wasisahau maslahi ya waliowatuma.
Pili tuache kufikiria kuandamana and all that crap, tutafute njia za sisi pia kulobby kwenye mabunge ya nchi nyingine,hii ndio dunia tukilialia tu hakuna tutakachopata.Stand up send our ambassadors to lobby all around the world.
 
Kumbe sasa tunaanza kujua janja la mabalozi kusifia serikali zetu kuwa zinafanya vizuri wakati wananchi wakiendelea kukamuliwa na kukosa hata mlo mmoja kwa siku.

Nafikiri cha kuelewa barrick wanafanya biashara kama ni biashara lazima tufaidi wote.
Hawawezi kuchukua raslimali zetu na kutuachia mashimo.
 
Nashauri kuwa wote wawasiliane na wabunge wao popote pale walipo kuhakikisha kuwa wanakuwa na msimamo na kuwakatalia hawa jamaa .

Ntajitahidi kuweka namba za simu za wabunge wote na majimbo yao ili kesho tuanzie huku JF kuhakikisha kuwa tunakwamisha mpango huu wa kuendelea kumaliza madini yetu.

Nitawapa yaliyojiri zaidi na hata usiku huu atakutana na wabunge hotelini kwake kwa ajili ya kuendeleza mkakati huo ambao umefanyika sasa kwa wiki nzima huko Dodoma .

Hima! Hakikisha ripoti ya Bomani anapewa Invinsible na Enigma. Haraka! Hakikisha tunaipata hapa JF, ili wajue tunajua nini wanapaswa kusema na kufanya. Ili wajue nini wananchi tunatarajia kutoka kwao. Vinginenvyo, watafanya Ze Comedy na kudhihirisha maneno ya Sinclair kuwa Kikwete hatazingatia mapendekezo ya Kamati. Weka ripoti ya Bomani hapa, from X to Z tuwashike mashati hao wabunge wetu, waseme yale tunayotaka waseme kwa niaba yao na si yale wanayotumwa nao hao vitangulizi vya wakoloni mamboleo. Shime, zingatia upesi!

Ni ombi la kutimiza wajibu. Hii ni Jihad

Asha
 
Huna haja ya kumpigia simu Tundu Lisu wala Shivji wala shirika lolote.Lobbying maana yake ni ushawishi and not anything illegal.Cha msingi ni kwa wabunge kuelewa kuwa huyo balozi anatetea maslahi ya waliomtuma hivyo basi na wao wasisahau maslahi ya waliowatuma.
Pili tuache kufikiria kuandamana and all that crap, tutafute njia za sisi pia kulobby kwenye mabunge ya nchi nyingine,hii ndio dunia tukilialia tu hakuna tutakachopata.Stand up send our ambassadors to lobby all around the world.
Big Money and Big Problems

There is no doubt: Lobbying is big business and it's growing. And choosing the right lobbyist can be very lucrative. For a relatively small investment in a lobbying campaign, corporations can receive a gargantuan return. THE WASHINGTON POST reported that one lobbying firm, the Carmen Group, calculated that for every $1 million its clients spend on its services, it delivers, on average, $100 million in government benefits.
Lobbyists and their firms contribute heaps of cash to political campaigns, attend or host fundraisers and even act as fundraisers and campaign treasurers themselves. According to the Center for Public Integrity, since 1998, nearly 80 members of Congress have tapped congressional lobbyists to serve as treasurers of their campaign committees and as leaders of their political action committees. Says Common Cause, "lobbyists raise campaign funds because they want to become indispensable to people in power, knowing that the service they perform will be rewarded by the access and influence they gain."
The following figures give a good idea of just how interlocking the worlds of politics and lobbying are:
232 former members of Congress are now registered lobbyists.
Nearly 40 members of Congress retain lobbyists as treasurers of their re-election campaigns or political action committees.
12 former registered lobbyists have been hired to work in various offices of the White House, sometimes formulating public policy about the various issues they once lobbied.

Tatizo ni kwamba..Nina uhakika kuwa KATIBA YETU ILIVUNJWA!
Na hatuwezi kutumia style kama ya serikali ya marekani kwani kwetu sisi nchi yetu ni kama state moja tu kati ya hamsini walizo nazo.
Hivyo ndugu yangu hatutaki mikataba ya kinyonyaji kwasababu wananchi hawakuulizwa na hawakuambiwa kinachoendelea!
Wana haki ya kuuliza...Wana HAKI ya kudai maelezo...WANA HAKI YA KUDAI HAKI!
 
Ninachoshindwa kuelewa ni kwanini issue hii inakuwa treated hapa JF as if it is emmergency or breaking news as the heading suggests???!!! Hivi mlikuwa hamjui kuwa hii kitu ilikuwa inaendelea kila siku?
Kama mmesoma vizuri maelezo ya Mtsimbe rais wa TPN, mojawapo ya malengo yao ni kulobby serikalini. Sasa cha msingi ni kwamba such lobbying isiishie ndani ya Tanzania.
Badala ya kutumia energy nyingi kujaribu kubadilisha mienendo ya dunia wakati mwingine ni busara zaidi kujifunza baadhi ya mienendo usiyoiridhia na kwenda nayo kama ilivyo.Lobbying is one of those.
 
Ninachoshindwa kuelewa ni kwanini issue hii inkuwa treated hapa JF asif it is emergency or breaking news as the heading says???!!! Hivi mlikuwa hamjui kuwa hii kitu ilikuwa inaendelea kila siku?
Kama mmesoma vizuri maelezo ya Mtsimbe rais wa TPN, mojawapo ya malengo yao ni kulobby serikalini. Sasa cha msingi ni kwamba such lobbying isiishie ndani ya Tanzania.

Hiyo lobbying iende mpaka kishwa chako uweze kutambua ukweli kwamba wabunge wako ni "Ndio Mzee", wakiambiwa na mzungu 'jump' wanaulizwa 'how high', sasa na sisi tukafanye lobbying kama wanavyofanya wao ili wasiruke ovyo ovyo. Agenda juu kipungu.....

Asha
 
Yaani naona tumefika pabaya nchi imeanza kudharauliwa kiasi hiki kiasi kwamba mtu anakwenda hata kwenye vyombo vyetu vya kutunga sheria kufanya LOBYING. Hii sasa itatufikisha mahala pa kutunga sheria za kuwalinda mafisadi.

Hawa inatakiwa wakemewe kabisa kwa kuingilia mambo yetu ya ndani. Wao inatakiwa waje wawekeze kulingana na sheria tulizo nazo na si vinginevyo ambaye hataki harudi kwao basi.
 
Hiyo lobbying iende mpaka kishwa chako uweze kutambua ukweli kwamba wabunge wako ni "Ndio Mzee", wakiambiwa na mzungu 'jump' wanaulizwa 'how high', sasa na sisi tukafanye lobbying kama wanavyofanya wao ili wasiruke ovyo ovyo. Agenda juu kipungu.....

Asha

Ukienda kucheza mpira ukakuta mchezaji akipigwa kiatu hakuna faul basi na wewe ukimuona mshambuliaji anaelekea golini kwako piga kiatu.Kama huwezi basi jitoe kwenye mashindano.Kwa bahati mbaya in this case huwezi kujitoa kwenye uchumi wa dunia so kilichobaki ni sisi pia kulobby.Kama hatuwezi kulobby Canada basi twende Gambia etc. This is how the world is. Tusipoteze nguvu bure kubadilisha hiki.k
Kuna vitu vingi vinavyobadilishika tupeleke nguvu zetu huko.
 
Ukienda kucheza mpira ukakuta mchezaji akipigwa kiatu hakuna faul basi na wewe ukimuona mshambuliaji anaelekea golini kwako piga kiatu.Kama huwezi basi jitoe kwenye mashindano.Kwa bahati mbaya in this case huwezi kujitoa kwenye uchumi wa dunia so kilichobaki ni sisi pia kulobby.Kama hatuwezi kulobby Canada basi twende Gambia etc. This is how the world is. Tusipoteze nguvu bure kubadilisha hiki.k
Kuna vitu vingi vinavyobadilishika tupeleke nguvu zetu huko.

Kweli kabisa tupeleke nguvu zetu kuondoa Chama Cha Mafisadi maana wameshindwa kabisa kucheza huu mchezo wanashindwa na wenzao wa Chile, Bolovia, Venezuela. Ndio tabu ya kuwa madarakani na watu wenye conflict of interest na wakina Barrick, TRE nk! Hawa makuwadi wa soko holela na utandawizi. Viongozi dhaifu kimaono na kimaadili! Hao ni wakina Mangungo wauza nchi kwa shanga, ndio nishani anazopewa Kikwete na misifa ya kuachia. Unadhani madini yetu ni ya kujinadi ovyo ovyo kama vyangudoa? Tanzania si jamvi la wageni jamani!

Asha
 
Kweli kabisa tupeleke nguvu zetu kuondoa Chama Cha Mafisadi maana wameshindwa kabisa kucheza huu mchezo wanashindwa na wenzao wa Chile, Bolovia, Venezuela. Ndio tabu ya kuwa madarakani na watu wenye conflict of interest na wakina Barrick, TRE nk! Hawa makuwadi wa soko holela na utandawizi. Viongozi dhaifu kimaono na kimaadili! Hao ni wakina Mangungo wauza nchi kwa shanga, ndio nishani anazopewa Kikwete na misifa ya kuachia. Unadhani madini yetu ni ya kujinadi ovyo ovyo kama vyangudoa? Tanzania si jamvi la wageni jamani!

Asha

Barrick wamelobby serikali ya Canada iwasaidie kulinda maslahi ya biashara zao. Makampuni ya Tanzania nayo yanyaweza kufanya the same mfano IPP inaweza kulobby serikali ya Tanzania ilinde maslahi ya biashara zake abroad.
Kwa hiyo tatizo sio serikali pake yake, initiative inaweza kuwa ya serikali, kampuni au hata shirika lisilo la kiserikali.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom