Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Benki ya Dunia inapendekeza mkopo wa dola mi $ 100 ya miundombinu kwa ajili ya Tanzania kuongeza utalii na serikali ya Ujerumani hivi karibuni na ilisaini mkataba wa eruo € milioni 18 wa miaka 5 mpango hifadhi kwa Selous.
Rais Magufuli kajinasibu kununua ndege ili kukuza utalii sijajua huo utalii upi ambao unapingana na sera zake za kujenga bwawa la umeme ambalo litaathiri mazalia na uoto wa asili ambao ni chanzo cha uwepo wa mbuga na hifadhi ya dunia.
Tanzania vyanzo mbalimbali vya nishati vyenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya 2100MW:
x Stiegler’s Gorge has been seen as a ‘silver bullet’ solution to this power crisis primarily owing to the size of MW it could contribute.
x However, there are some doubts about the potential for such a project to effectively solve Tanzania’s power issues relating to the seasonality of hydropower:
o With insufficient data, it is uncertain how much the Stiegler’s Gorge output would
vary with the strongly seasonal Rufiji river.
o The Stiegler’s Gorges’ reservoir is large compared to its river. However, it may still be vulnerable to drying up or having to spill water. The firm power, the power that can be more relied upon, should therefore be taken into account.
o There are queries about whether a single seasonally affected plant should be responsible for such a large proportion of the country’s generation.
o Smaller reservoirs, such as Mtera Dam, have often dried up in drought years (although operational factors are also to blame) and consistently varied in output.
o Power crisis in Tanzania occur in the dry season as they are caused by variability of electricity generation as well as an insufficient amount of total power being produced. Seasonality of the water cycle has thus negatively impacted the energy system.
o Seasonal uncertain has been largely unaddressed in the planning of this dam so far: the plans stress the need to reduce seasonality with a large dam and storage capacity, but does not identify the extent of seasonality in power output or commit to details of reservoir operation.
o As the dam will be privately owned, gaining money through selling electricity, the incentive for reservoir management will be to maximise power revenue, unless other uses like flood control are written into the licence.
o Maximum electricity output might compromise mitigation efforts such as annual flood replication, and additional benefits like irrigation.
Rais Magufuli kajinasibu kununua ndege ili kukuza utalii sijajua huo utalii upi ambao unapingana na sera zake za kujenga bwawa la umeme ambalo litaathiri mazalia na uoto wa asili ambao ni chanzo cha uwepo wa mbuga na hifadhi ya dunia.
Tanzania vyanzo mbalimbali vya nishati vyenye uwezo wa kuzalisha zaidi ya 2100MW:
- Gesi Asilia ambayo tunayo Zaidi ya tone mill 55 na tunamiliki 10% ya dunia
- Makaa ya mawe kule Mbeya kiwira
- Kuna mafuta toka Uganda na bomba hili kupita Tanzania na kusafirishwa pale Tanga
- Tuna jua la kutosha kuzalisha umeme
- Upepo pia hasa maeneo ya singida ambapo inakadiriwa tunaweza kuzalisha megawati 100
- Umeme wa nguvu ya mvuke inaweza kuzalishwa hadi megawati 5000 mara mbili ya strieglers gorge ambao unapatikana katika bonde la ufa
- Maporomoko ya maji nje ya huu wa sasa ambapo kuna
- Ruhudji dam 358MW
- Mnyera project of 670MW.
- Rubada wanapendekeza pia maeneo ya Iringa na Mpanga.
- Malagarasi (45MW) Rumakali (222MW) na Kakono (87MW)
x Stiegler’s Gorge has been seen as a ‘silver bullet’ solution to this power crisis primarily owing to the size of MW it could contribute.
x However, there are some doubts about the potential for such a project to effectively solve Tanzania’s power issues relating to the seasonality of hydropower:
o With insufficient data, it is uncertain how much the Stiegler’s Gorge output would
vary with the strongly seasonal Rufiji river.
o The Stiegler’s Gorges’ reservoir is large compared to its river. However, it may still be vulnerable to drying up or having to spill water. The firm power, the power that can be more relied upon, should therefore be taken into account.
o There are queries about whether a single seasonally affected plant should be responsible for such a large proportion of the country’s generation.
o Smaller reservoirs, such as Mtera Dam, have often dried up in drought years (although operational factors are also to blame) and consistently varied in output.
o Power crisis in Tanzania occur in the dry season as they are caused by variability of electricity generation as well as an insufficient amount of total power being produced. Seasonality of the water cycle has thus negatively impacted the energy system.
o Seasonal uncertain has been largely unaddressed in the planning of this dam so far: the plans stress the need to reduce seasonality with a large dam and storage capacity, but does not identify the extent of seasonality in power output or commit to details of reservoir operation.
o As the dam will be privately owned, gaining money through selling electricity, the incentive for reservoir management will be to maximise power revenue, unless other uses like flood control are written into the licence.
o Maximum electricity output might compromise mitigation efforts such as annual flood replication, and additional benefits like irrigation.