Mods, naomba niweke hii thread hapa kwenye habari za siasa ili watu wengi waine maana nahisi watu wanaibiwa hapa mjini na polisi.
Stickers za week ya nenda kwa usalama zimedhaminiwa na Airtel na Engen kwa maneno mengine police wamepewa bure. Hata hivyo kwenye sticker bei imeandikwa TSHS 3,000/= hivyo dereva anatakiwa alipe kiasi kilichoandikwa kwenye sticker. Lakini cha ajabu police wanatoza TSHS 5,000/=! Je hii ni sahihi au police wamegundua mradi mpya?
Stickers za week ya nenda kwa usalama zimedhaminiwa na Airtel na Engen kwa maneno mengine police wamepewa bure. Hata hivyo kwenye sticker bei imeandikwa TSHS 3,000/= hivyo dereva anatakiwa alipe kiasi kilichoandikwa kwenye sticker. Lakini cha ajabu police wanatoza TSHS 5,000/=! Je hii ni sahihi au police wamegundua mradi mpya?