Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,342
- 13,069
Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala.
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile
Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza kuleta watalii Tanzania ni Mara 10000 Bongozozo anaweza fanya hiyo kazi ila si yeye. Ni kweli yeye, wenzie na Mh Kigwangala walikua na nia nzuri ya kukuza utalii ila hawakua watu sahihi kwa kazi ile