Steven Ngonyani (majimarefu), mganga wa kienyeji moja ya sababu kushindwa CCM

Safety last

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
4,227
1,389
Kama kuna kitu ccm waliyumba ni kumleta mpiga porojo lusinde halafu wakaongeza na mganga wa kienyeji steven ngonyani ,mikutano yao ikaonekana kama mkusanyiko wa "ibada za kiganga" wameru wakashangaa hii ni ile ccm ya nyerere au wapiga ramli,baada ya wiki tatu za kebehi,matusi,dharau na ramli za maji marefu,wakapewa kichapo!KAMANDA WA ARDHI MWINGINE ANAINGIA MJENGONI! Obrigado Arumeru east!
 
Mganga Stpehen Ngonyani alishindwa na Wachungaji wawili wa Chadema na sie Mwingine Mch.Msigwa na Mch.Israel Natse wote wakiwa wabunge..,Yaani zilikuwa Nguvu za Giza na Nguvu za Kiroho zikishindana hapo arumeru
 
Kweli siweki kushindwa kwa CCM kwa mtu mmoja au wawili. Kwanza ni uelewa wa wapiga kura wa eneo husika. Uchaguzi huu ungekuwa Dodoma, Pwani, Tabora matokeo yangekuwa mazuri kwa CCM!!! Nadhani sababu ni hizi:

a) Watu wametambua kuwa CCM huwadanganya na hutumia nguvu nyingi kuwadanganya.
b) Mtu akitaka mabadiliko mara nyingi halengi kupata kitu bora, kwake badiliko ndio muhimu.
c) Wanashinda viti vya ubunge bila shida wakati wa general elections, ni kwa sababu wanaweza kufanya massive rigging bila kutambilika wazi wazi. Sidhani sasa wanatamani chaguzi ndogo tena kwa sababu wanatumia resources zao nyingi.

** mtakumbuka walitaka nafasi za wabunge wanaofariki zijazwe na chama cha mbunge aliyefariki?? Ni kwa sababu madhaifu ya CCM yatajulikana kwa taifa zima ktk chaguzi ndogo kuliko general elections ambazo hutawaliwa na matumivi mabaya ya vyombo vya serikali na usaidizi usiodhibitika wa NEC na Polisi.

Just my take!
 
Kama kuna kitu ccm waliyumba ni kumleta mpiga porojo lusinde halafu wakaongeza na mganga wa kienyeji steven ngonyani ,mikutano yao ikaonekana kama mkusanyiko wa "ibada za kiganga" wameru wakashangaa hii ni ile ccm ya nyerere au wapiga ramli,baada ya wiki tatu za kebehi,matusi,dharau na ramli za maji marefu,wakapewa kichapo!KAMANDA WA ARDHI MWINGINE ANAINGIA MJENGONI! Obrigado Arumeru east!

Tehe tehe tehe ushindi mtamu bana. Tuwalambe tusiwalambeeeeeeeeeeeeeeeee?
 
GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1694.jpg
First Name: Livingstone
Middle Name:Joseph
Last Name:Lusinde
Member Type:Constituency Member
Constituent:Mtera
Political Party:CCM
Office Location:Box 50, Dodoma
Office Phone: +255 755 453327/+255 785 679927
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Mbigili Primary SchoolPrimary Education19801987PRIMARY
CCM College IhemiCertificate20072008CERTIFICATE

CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Mtera Constituency20102015

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary - Tarime District20062010
Chama Cha Mapinduzi, CCMAssistant Secretary/Accountant20062007
CHADEMAMember - National Executive Board1995
Civic United Front, CUFSecretary - Kawe Constituency19921995
Chama Cha Mapinduzi, CCMSecretary
 
Aliyeweka profile ya Asiyeheshimiwa Lusinde hapa kafanya vizuri sana. Hebu angalia elimu yake, vyama alivyopitia. Nadhani isingekuwa nguvu ya huyohuyo aliyemg'oa madarakani asingekuwa hapo. Hivi tangu mwaka 1988 mpaka 2006 alikuwa wapi? kwa hiyo ni vema tukawa tunasikiliza na kuchambua matamshi ya mtu kulingana na elimu yake, alivyotangatanga na asivyoheshiwa wazee wake kama alivyomkosea adabu mzee na ndugu yake, Malecela.
 
ha ha ha ha ha angalieni huyu nae..eti ana nadi sera za chama tawala kwa elimu hii..hivi ccm wako serious kweli??? kuna haja ya kuwashikisha adabu




GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1738.jpg
First Name: Stephen
Middle Name: Hilary
Last Name:Ngonyani
Member Type:Constituency Member
Constituent: Korogwe Vijijini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone: +255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Kwamndolwa Primary SchoolPrimary Education19701976PRIMARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
No items on list
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
No items on list
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location Position FromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of NEC2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMRegional Economic Secretary2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMEconomic Secretary, Korogwe rural2007
PUBLICATIONS
Description Published Date
No items on list
SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description Years Experience Acquired Through Skill Level
No items on list
RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction TakenIssued by
No items on list
 
ha ha ha ha ha angalieni huyu nae..eti ana nadi sera za chama tawala kwa elimu hii..hivi ccm wako serious kweli??? kuna haja ya kuwashikisha adabu




GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1738.jpg
First Name: Stephen
Middle Name:Hilary
Last Name:Ngonyani
Member Type:Constituency Member
Constituent:Korogwe Vijijini
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 60, Korogwe, Tanga
Office Phone: +255 784 459090/+255 712 006666
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
Member Status:
Date of Birth
EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Kwamndolwa Primary SchoolPrimary Education19701976PRIMARY
CERTIFICATIONS
Certification Name or TypeCertification No. IssuedExpires
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/LocationPositionFromTo
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of NEC2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMRegional Economic Secretary2008
Chama Cha Mapinduzi, CCMEconomic Secretary, Korogwe rural2007
PUBLICATIONS
DescriptionPublished Date
SPECIAL SKILLS
Skill Name or DescriptionYears ExperienceAcquired ThroughSkill Level
RECOGNITIONS
Recognition Type Recognition DateReasonAction TakenIssued by
No items on list
mbunge hana hata e mail ..eti ndio wanatunga sheria za nchi ..nchi imejiloga yenyewe hao wanaooongozwa sijui wako kwenye khali gani sasa
 
Back
Top Bottom