HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Huyu mashishanga ni mnafiki tu, rais akianzisha wizara mpya sasa hivi na kumteua yeye kuwa mbunge na baadaye waziri atakataa?
Tunarudia makosa yale yale, kumjadili mtu badala ya hoja aliyotoa!
That is only possible kama tukiwa na states gvt, kama ilivyo marekani au china. Otherwise ukipunguza baraza la mawaziri kichwa kichwa na huu mfumo wetu ambao wakuu wa mikoa hawana meno. It will be more worse.
We need to decentralise government. Then hapo tunaweza punguza, baraza la mawaziri. This is a modern way ya kuongoza serikali. Madaraka yanapungua kutoka centre gvt, kwenda kwa wananchi. Through states, like they do in USA.
Kauli ya Mashishanga kuhusu baraza la mawazri na mwenendo wa ccm ina ukweli na ya kuungwa mkono.Lakini tatizo la wana ccm wa leo wamekuwa wepesi kuongea pale tu wanapokuwa nje ya madaraka baada ya kustaafu.Walioko madarakani ndani ya chama na serikalini sijui wanakuwa waoga kushauri au sijui wanaogopa kumuudhi bwana mkubwa.Matatizo ya ukubwa wa baraza imwekuwa ni kelele ya wapinzani tu na wala hayakuanza leo lakini ccm mnaona sawa na walio karibu na raisi hawasemi hadharani kupinga kama Mashishanga na labda nao wanasubiri wastaafu ndio waongee.Hakika hili ni tatizo.