Mahakama kuu kanda ya tabora imetupilia
mbali kesi ya ubunge wajimbo la
shinyanga mjini iliyokuwa
imefunguliwa na wapiga kura
dhidi ya mh. Steven masele
Unapotoa taarifa ni bora kutoa taarifa zinazojitosheleza! kusiwe na maswali kwa unaowapa taarifa. Sasa mtoa mada anaulizwa hao wananchi wanapinga matokeo ya mbuge kupitia chama gani? Hujib!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.