Steve Nyerere: Saloon za kisasa ni viwanda vidogo vidogo

Sr. Magdalena

JF-Expert Member
Aug 10, 2011
803
472
Mkurugenzi wa kampeni ya uzalendo kwanza na msanii wa filamu kutoka kiwanda cha filamu, Steve Nyerere amezindua saloon mpya ya kisasa Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo amewataka watanzania kuendelea kufungua saloon za kisasa kwa kuwa ni viwanda vidogo. Muigizaji huyo ameyasema hayo Jumamosi hii wakati akizinduzi wa saloon hiyo uitwayo Respect Barber Shop iliyopo Komakoma Kinondani jijini Dar es salaam.
 
Mkurugenzi wa kampeni ya uzalendo kwanza na msanii wa filamu kutoka kiwanda cha filamu, Steve Nyerere amezindua saloon mpya ya kisasa Kinondoni jijini Dar es salaam ambapo amewataka watanzania kuendelea kufungua saloon za kisasa kwa kuwa ni viwanda vidogo. Muigizaji huyo ameyasema hayo Jumamosi hii wakati akizinduzi wa saloon hiyo uitwayo Respect Barber Shop iliyopo Komakoma Kinondani jijini Dar es salaam.
 
Mashine ya msaga sumu ni kiwanda kikubwa cha kusaga na kukoboa nafaka ukanda wa Africa mashariki na kati
 
Na inaelekea washauri wa uchumi wa mkulu wetu ni watu wa aina ya Stive Nyerere, tusitarajie maajabu.
Na atambue kuwa hii bajeti ya 2018/19 ndio ya mwisho, itakayofuata itajikita kwenye masuala ya uchaguzi mkuu ujao (kama utakuwepo)....
 
Hata mashine za kukamulia juis ya miwa ni viwanda vdogo vdogo pia
Yeah ile ni kiwanda mzee baba, sifa ya kiwanda ni lazima kuwe na mambo matatu muhimu.

Inputs----->Processing---->Value

Inputs ikiwa ni malighafi, for the case miwa.

Processing lazma uwe na nguvu kazi ya mashine na binadamu ili kuchakata.

Mwisho lazma upate ongezeko la thamani tokana na bidhaa uliozalisha. Kama muwa umenunu elfu 3 ukishaufanya litre 5 za juice kisha ukauza juice 20 kwa buku buku tayari umeongeza thamani ya muwa ule ule mara 6 zaidi.

Kuhusu saluni kuwa kiwanda kwangu haiswii, hamna kiwanda cha huduma. Mwenye kujua kiwanda cha huduma anijuze pengine mi mshamba.
 
Nimeipta hii sallon ha ha ha.

Iko pembeni ya cookie alcohol.
Kumb ni kiwanda kile pia..
 
Hongera kwake. Salon ni business opportunity itakayokuwa ikimuingizia kipato. Kwa reference ya waziri, hicho kweli ni "kiwanda"
 
Back
Top Bottom