Ni mtoto wa staa wa bongo moviekwani huyu mtoto ni nani hapa tanzania maana kila kona nasikia mtotoo huyu jamani wengine hatujui hebu tuambiane
wacha ulongo weweSuperstar mmoja hivi alikuwa na mkwanja hatari
Asante my dear ,bora na wewe umeiliza,nimekuja nikijiuliza hili swali ,Huyu mtoto nae alikuwa bongo movie au wazanzi wake?kwani huyu mtoto ni nani hapa tanzania maana kila kona nasikia mtotoo huyu jamani wengine hatujui hebu tuambiane
kwani huyu mtoto ni nani hapa tanzania maana kila kona nasikia mtotoo huyu jamani wengine hatujui hebu tuambiane
Lakini anasaidia kufanikisha mamboSi ndo yule wanasema tapeli anakula hela za rambirambi
Usnambie hujui maana ya 'angel'Ni wakike au anajinsia mbili.
Clouds kuna wakati wanapenda kujidhalililsha sana bora wangekaaa kimya tu!!!!Yeye ndo msemaji wa familia mpaka atoe ratiba.Hao na clouds ndo wanatangaza msiba uko mbezi wakati baba wa marehemu anasema msiba uko mwananyamala kwenye Nyumba aliyojenga na muna.
Kwema ndugu yangu? naona unawatoa watu POVU na kuwavunja mbavu!Steve Nyerere ameomba watu wasiwe na haraka kuhusu ratiba ya msiba wa mtoto PATI na atatoa ratiba nzima akifika Nairobi .Pumzika kwa amani mtoto Pati
Kwema Ndg yangu Guasa, hatujaonana tokea ile likizo kubwa ya wiki tatuKwema ndugu yangu? naona unawatoa watu POVU na kuwavunja mbavu!
Likizo ya machungu ile haita sahaulika watu tulikuwa tunagugumia ndani kwa ndani tu.Kwema Ndg yangu Guasa, hatujaonana tokea ile likizo kubwa ya wiki tatu