Steve Paul Jobs, alizaliwa feb24,1955.akiwa na Umri wa Mwezi mmoja ALIASILIWA na Bwana Paul na Bi Clara Jobs,Steve hakuwahi kuwasiliana na wazazi wake maisha yake yote na hawajulikani walipo mpaka sasa.STEVE JOBS Hakwenda Shule kabisa ! ( wana wa IT mpo ! ) akiwa na miaka kati 15-18 alikwenda India kutafuta elimu ya DINI ( pesa ya safari hiyo ilipatikana kutokana vibarua/kazi ).
1.ni YATIMA 2.ana Elimu ya DINI tu kuna jambo mimi na liamini naomba tufikiri kwa pamoja iwapo ni kweli ? Je kulelewa na wazazi/ mama na baba tangu unazaliwa mpaka una anza majukumu yako mwenyewe ( wengine wana bahatimbaya sikuya harusiyake baba/mama anampa na NYUMBA/GARI ) Inapunguza uwezo wako wa kufikiri / ubunifu / ubinadamu wako halisi .iwapo hujanielewa anza kutafuta ma Great thinkers fuatilia historia zao .natoa hoja
1.ni YATIMA 2.ana Elimu ya DINI tu kuna jambo mimi na liamini naomba tufikiri kwa pamoja iwapo ni kweli ? Je kulelewa na wazazi/ mama na baba tangu unazaliwa mpaka una anza majukumu yako mwenyewe ( wengine wana bahatimbaya sikuya harusiyake baba/mama anampa na NYUMBA/GARI ) Inapunguza uwezo wako wa kufikiri / ubunifu / ubinadamu wako halisi .iwapo hujanielewa anza kutafuta ma Great thinkers fuatilia historia zao .natoa hoja