Dr Guitar tz
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 312
- 247
Saa 1:30 jioni hii nipo hapa kituo cha Ubungo linapoanzia safari zake hili treni la mjini Dar. TRL walichojenga ni Platform tu, hakuna benchi, maji, vyoo wala taa.
Shirika watambue tuna miaka zaidi ya 50 ya Uhuru, ni aibu mambo mengine jamani, hata ma benchi tu hakuna? Na mamilioni ya tani za mbao yanaenda nje kila siku, huduma hii ni ya umma na kwa vile wame link kituo hichi na Ubungo bus terminal kuna uwezekano wa hata watalii toka nje ya nchi kutumia huduma hii kweli wakiona hali hii ni wazi itawakwaza.
Ushauri kwenu TRL au halmashauri boresheni huduma hii tuendaneendane na miaka yetu 50 ya uhuru.
Shirika watambue tuna miaka zaidi ya 50 ya Uhuru, ni aibu mambo mengine jamani, hata ma benchi tu hakuna? Na mamilioni ya tani za mbao yanaenda nje kila siku, huduma hii ni ya umma na kwa vile wame link kituo hichi na Ubungo bus terminal kuna uwezekano wa hata watalii toka nje ya nchi kutumia huduma hii kweli wakiona hali hii ni wazi itawakwaza.
Ushauri kwenu TRL au halmashauri boresheni huduma hii tuendaneendane na miaka yetu 50 ya uhuru.